tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Napata kila kitu Ila sometimes net inakua slow.. . ..sawa rudi Dar bas angalau upate data...![]()
![]()
Napata kila kitu Ila sometimes net inakua slow.. . ..sawa rudi Dar bas angalau upate data...![]()
![]()
Google, IBM, Coca Cola, Microsoft, CGTN ni mifano tu...hebu taja za tz tuon kama hata zitafika 5![]()
![]()
na hizo tano ni kwasababu ya rasilimali kama gas na diamond sio investment ya bidhaa...wamekuja kuwanyonya rasilimali zenu![]()
![]()
![]()
Rekebisha from 60 to GDP $80 b as at 2018. Hiyo 60 hamjafika nafikiri bado Mnang'ang'ania pale $42 b kwa hohe hahe.hivi umetumia kigezo gani kupanga foleni moja na south,nigeria na egypt???
maana hao wote gdp zao ni zaidi ya 150b wakati nyie mko na 60???
buda wakenya mna akili za namna gani???
Napata kila kitu Ila sometimes net inakua slow.. . ..
Kama vile ya East Africa yote haifikii ya Kenya.Nyie watu jaman sijui mko dunia gani...sasa jozi or Cairo mnaweza jiweka nao ???east Africa yote combined haifiki ata GDP ya Egypt
Kwa taarifa yako Bus kama hizo Tz haziruhusiwi kuingia Jijini Dar
Huku Huwezi ruhusiwa kubeba Abiria kwa Mabasi kama hayo eti Utoke Jiji kuu la nchi kwenda Jiji lingine kubwa lanchi!!
Angalia vizuri Video hiyo Uchafu ulivyo tapakaa
pia Kama ni Zamani
Nionyeshe Bus stand Nairobi
Cheki hizi za Bongo
Kenya GDP yenu ni yakubashiri hakuna data ya uhakika yakuaminika!!mara 55,70 ww useme 80 jay aseme 100 sasa sio wizi huo ni nn...it's simple Tz now 51bln nyie yenu ni ipi hamuelewekiKama vile ya East Africa yote haifikii ya Kenya.
Mafara wengi Kenya hawajapanda ndege and some will never board ...vp kuhusu buses ambayo every one lazima atapanda? ??usiwe kiazi wwTz ni nchi ya Mabasi(ldc) sisi Kenya ndege, SGR, buses(good roads) and upcoming cable cars are our modes of transport.
Hata Dar ni kijiji so fafanua zaidi upo kwenye msitu upi?Niko kwenye kijiji kimoja wacha kabisa
Dar Ni kijiji Nai kitongoji!!Hata Dar ni kijiji so fafanua zaidi upo kwenye msitu upi?
Tz hamjafika 48 b kawadanganye wamalawi na LDC wenzenu kina Afghanistan.Kenya GDP yenu ni yakubashiri hakuna data ya uhakika yakuaminika!!mara 55,70 ww useme 80 jay aseme 100 sasa sio wizi huo ni nn...it's simple Tz now 51bln nyie yenu ni ipi hamueleweki
$51bln kama hutaki pigia simu world bank waweke 12Tz hamjafika 48 b kawadanganye wamalawi na LDC wenzenu kina Afghanistan.
Nimejua tu ni Dar is slum. HahahahahahahaNiko Pwani sehemu moja ndanindani hv ..
Siko Dar! !aai mwalimu wako alipata sana tabu Tabu wewe...sijui kama uliweza kumaliza shuleNimejua tu ni Dar is slum. Hahahahahahaha
Kwa hivyo upo Tandale?Dar Ni kijiji Nai kitongoji!!
Mkoa wa Pwani unageographia ngumu kidogo...sehemu kubwa ni misitu na vijiji vyake viko mbali mbali kidogo! !free notes izo
Rekebisha from 60 to GDP $80 b as at 2018. Hiyo 60 hamjafika nafikiri bado Mnang'ang'ania pale $42 b kwa hohe hahe.
Nipo Apa Mathare kwa nyanyakoKwa hivyo upo Tandale?

Kama vile ya East Africa yote haifikii ya Kenya.


.Tz ni nchi ya Mabasi(ldc) sisi Kenya ndege, SGR, buses(good roads) and upcoming cable cars are our modes of transport.



Mafara ni mji Tz? I am sure only 1% of bongolalas washaipanda ndege that includes government officials and expatriates... Nyinyi wengine hata mikoani hajafanikiwa kutoka.Mafara wengi Kenya hawajapanda ndege and some will never board ...vp kuhusu buses ambayo every one lazima atapanda? ??usiwe kiazi ww