tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
hautapata mKenya akipoteza wakati kutaka kujua ni nini inaendelea bongolalaland



Vumilia tu bro najua kisu kimegota mfupani
hautapata mKenya akipoteza wakati kutaka kujua ni nini inaendelea bongolalaland



Vumilia tu bro najua kisu kimegota mfupani
Happy birthday Sue
lolDaresalam ni mji wa mwisho duniani..,wale ambao wanaousifia mji wa Daresalam wanatakiwa watembee miji ya wenzetu wajionee...
Mji hauna hata vyoo vya umma (Public toilets),kweli unaweza kuusifia mji kama huo...,nawakilisha
Ulimrudishia baba ile iPhone uliringia watu hapa?😀😀😀Safari hii mtalia kilio cha mwizi
Samahani nilikua shamba ninapalilia maharage, sasa hivi ndiyo nimemaliza kukamua mawiza ng'ombe zangu. Nimepatikana na nini buda?jiwe la joto amepatikana red handed................

Thanks lewisHappy birthday Sue
Usafiri wa train ni kwa ajili ya poor people sio middle class ambao wanapaswa kutumia buses na private transport, kwa kupandisha nauli hadi kufikia zile za buses maana yake lower class imetengwa kama ilivyokawaida kwa wakenya, Kenya hamuwathamini kabisa wananchi masikini" This time tomorrow by Ngugi wa Thiong'o"Kenya middle class ni wengi. Bado tutalipa tu hata waweke Ksh. 10k
bla bla bla......Usafiri wa train ni kwa ajili ya poor people sio middle class ambao wanapaswa kutumia buses na private transport, kwa kupandisha nauli hadi kufikia zile za buses maana yake lower class imetengwa kama ilivyokawaida kwa wakenya, Kenya hamuwathamini kabisa wananchi masikini" This time tomorrow by Ngugi wa Thiong'o"
Ilikuuma sana kumbe 😀😀😀😀Ulimrudishia baba ile iPhone uliringia watu hapa?
Happy birthday axeeG'morning....naona mnazidi kuwekana sawa hadi kieleweke,Haha Kadoda,ichoboy,Ndinda,colloh,Jay,Elmat,Kichwangumu,Wadau wote humu kama nimekusahau don't worry Today is my birthday. ...Happy birthday to me!!
Simu unaziuza kwa duka ya mwarabu mwenzako kariakoo ndio unaringiaIlikuuma sana kumbe 😀😀😀😀
Iphone X imekuumiza sana
haichukui mda mrefu kabla hujakuja na wimbo wako wa unemployment, food, corruption, insecurity na slums.... jog on!This time tomorrow![]()
![]()
![]()
Mm siuzi sim ndugu nanunua kile nikitakacho sijui kujinyima, kununua iphone X kwann uumie wewe 😀😀😀😀😀Simu unaziuza kwa duka ya mwarabu mwenzako kariakoo ndio unaringia
Nairobi's middle class is broke and fake, here is why! - Capital BlogKenya middle class ni wengi. Bado tutalipa tu hata waweke Ksh. 10k

ile ndio shop unauzia kwa ile picha yako ulieka kwa profile ile day?Ilikuuma sana kumbe 😀😀😀😀
Iphone X imekuumiza sana
Thank you buda...Happy birthday axee