kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
huyo ndio ndinda...mtu mbaya.Brother mi Leo uvumilivu umenishinda naomba nikuulize hizi picha umepiga wewe?

huyo ndio ndinda...mtu mbaya.Brother mi Leo uvumilivu umenishinda naomba nikuulize hizi picha umepiga wewe?

Alafu utasikia wanavyojigamba hapa eti "we have the biggest, most modern stadium in east Africa." That is a white elephant danganyikans. It hasn't propelled you to international arena in any sporting activity. By the way Tanzania inajulikana kwa mchezo gani internationally? At least Kenya inajulikana kwa riadha, cricket, women's volleyball, rugby and many moreWanyama Leo yuko ngangari sana against Liverpool at Anfield pia kama sijakosea HSBC series inaendelea fungulia King'amuzi chako ujionee bendera ya Kenya ikepepea kati ya mataifa mengine makubwa huku huku nyinyi mkitulia vijiweni.
Narudia kwamba whether mimi ni mweusi kama lami sio hoja. I can PM you my photo to make your own judgement about how "dark" I am. But at least I told you my mind, stop double speak. Wewe ni mwafrika kama mimi na wengine wote hapa ndani. Sasa tukibaguana humu ndani wenyewe kwa wenyewe wazungu watafanya nini? Ndio maana nikasema hayo ni mawazo ya kijingaduh, umeandika kwa uchungu sana.. basi samahani buda... sitorudia tena kuwatania wakenya kuhusu weusi wenyu usio wa kawaida.
never thought this issue could reach this far...i swear, i will never again make fun your darker skin.i'm sorry.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Chocha tu.Hehehe jana tbc kulikua na kipindi maalum kutoka kurugenzi ya mawasiliano ya Rais ikulu dah aisee ni fireeee kadogosa amedadavua kila kitu kuhusu hiyo sgr na progress zake amesema by June 2020 sgr kutoka Dar mpaka Dom itakamilika terminus zitakua za aina yake designs zimeshakamilika zipo kwenye pipeline.
Tafuta hiyo video YouTube kwenye kurugenzi ya mawasiliano ya Rais Ikulu kama watakua wameiweka tayari watu wameze sumu haraka haraka huku.
Mnyamazishe huyo..hahaHata sifaham, nafkiri walianzia Dar
![]()
Mchezo wa kukurupuka na mipovu waachie Watanzania. Tuta tuna ndiyo wamebobea.Alafu utasikia wanavyojihamba eti "we have the biggest, most modern stadium in east Africa." That is a white elephant danganyikans. It hasn't to international arena in any sporting activity. By the way Tanzania inajulikana kwa mchezo gani internationally? At least Kenya inajulikana kwa riadha, cricket, women's volleyball, rugby and many more
Hahahahahahaha wanyamazishe na a single lane path... Hapa umewachapa Wakenya.Mnyamazishe huyo..haha
Viktoria area is growing so fast, new building's projects are booming .. respect!Another Upcoming District. Photos taken from very very far from a fast moving boat, too much shaking and That’s why bad quality.
![]()
![]()
![]()
![]()
We umeona kuna msongamano Wa Magari hapo? Dar sio kama Nair robbery mpaka ngombe wanapita kwenye sehemu za Magari..Hahahahahahaha wanyamazishe na a single lane path... Hapa umewachapa Wakenya.
Hahahaha halafu hata mimi nashangaa kweli , yani wapi proper city unakuta ngombe wanazunguka zunguka labda india..We umeona kuna msongamano Wa Magari hapo? Dar sio kama Nair robbery mpaka ngombe wanapita kwenye sehemu za Magari..
Hahaha...wamebobea sana katika mchezo wa "tuta..." Hapo kweli hawana mpinzaniMchezo wa kukurupuka na mipovu waachie Watanzania. Tuta tuna ndiyo wamebobea.
You danganyikans are so full of double speak and double standard. How many times have you castigated us Kenyans for not being patriotic Africans, that sisi ni watumwa wa wazungu na kwamba tunaabudu wazungu? Then how comes you are now not proud of the African skin? Mbona unamawazo ya utumwa? Mbona unafikiri kwamba kuwa na ngozi nyeusi ni laana? Mbona unashangaa kumwona mwafrika mwenzako akiwa na ngozi nyeusi? Je, wewe uko na white skin? Unamawazo ya kijinga sana tena sana. I thought ujamaa Iliwafundisha kupendana kama wafrika, na uafrika ni ngozi nyeusi. I was wrong
Kenya in East Africa is gradually becoming a very lucrative market for vehicles. Currently,the statistics indicate that there is a vehicle for every 30 Kenyans. With a bursting population of40 million plus,more than 10,000 vehicles are sold in Kenya annually.We umeona kuna msongamano Wa Magari hapo? Dar sio kama Nair robbery mpaka ngombe wanapita kwenye sehemu za Magari..
Povu lote hilo laniniYou danganyikans are so full of double speak and double standard. How many times have you castigated us Kenyans for not being patriotic Africans, that sisi ni watumwa wa wazungu na kwamba tunaabudu wazungu? Then how comes you are now not proud of the African skin? Mbona unamawazo ya utumwa? Mbona unafikiri kwamba kuwa na ngozi nyeusi ni laana? Mbona unashangaa kumwona mwafrika mwenzako akiwa na ngozi nyeusi? Je, wewe uko na white skin? Unamawazo ya kijinga sana tena sana. I thought ujamaa Iliwafundisha kupendana kama wafrika, na uafrika ni ngozi nyeusi. I was wrong
Povu lote hilo lanini
ulipaswa kupinga au kukubari Hayo maelezo ya nikweli au la!

Lile bandiko la GDB ndio lilikurestisha muda wote saivi ndio umepata nguvu ya kupost lugha zisizoeleweka?Chocha tu.
si nadhani ni matajiri sana,,you mean kenya magari ni mengi with less populationKenya in East Africa is gradually becoming a very lucrative market for vehicles. Currently,the statistics indicate that there is a vehicle for every 30 Kenyans. With a bursting population of40 million plus,more than 10,000 vehicles are sold in Kenya annually.
In Tanzania , it is hard to put a stable number on the figures of the sales, owing to the fluctuating currency. However, there is a vehicle for every 47 people,quite a low vehicle to people ratio.
blietz nadhani wewe sio mkenya na kama ni mkenya basi ni wale vijana wa kikenya ambao wapo vizuri sana kichwani.si nadhani ni matajiri sana,,you mean kenya magari ni mengi with less population
Na ninyi muache kushabikia kiingereza kwa madai kwamba ni lugha ya dunia, acheni mawazo ya kitumwa kwa kushabikia lugha za kigeni. Ninyi wenyewe mlimsikia Amina Mohamed akilalamika baada ya kushindwa uchaguzi kule Ethiopia, kwamba bara la Africa limegawanyika kimsingi ya lugha za kigezi, Anglophone and Francophone, vipi ninyi bado mnaendekeza kiingereza?.Narudia kwamba whether mimi ni mweusi kama lami sio hoja. I can PM you my photo to make your own judgement about how "dark" I am. But at least I told you my mind, stop double speak. Wewe ni mwafrika kama mimi na wengine wote hapa ndani. Sasa tukibaguana humu ndani wenyewe kwa wenyewe wazungu watafanya nini? Ndio maana nikasema hayo ni mawazo ya kijinga