Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aya wale wa minara njoeni apa
Ata top20 hampo
Uku tz majengo kama6 hivi ndanii
ee4045fc1c8069b67b64e8ccdc6b31b8.jpg
 
😀😀😀😀😀😀😀 haamini anachokiona walete na mombasa na kisumu humu labda zitawasaidia maana hakuna kitu
Yaani hawa tumewashika kila kona. Wanalia tu kwa sasa.
 
What is the noise for in this thread???
I present to you, the most modern, world class, beautiful city in Africa - Nairobi
C8ACeH9XUAA-PEm.jpg
 
Mnaedit na broken English (do not included in a list because of antenna) seriously!!!!!!! hahahhah
 
Yaani huu mchezo wa hapa majamaa wanauchukulia seriously hivi? hahaha
Tumeshamaliza kazi na nyie. Sasa hivi mnalia lia kama watoto. Mnachoweza kwa sasa ni barabara tu. Lakini mpaka 2019 mnaanza kusoma namba.
 
Back
Top Bottom