Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Food only at sh 150 or 3000 tsh
5d38c72d467f394a619b67e33ca15fe2.jpg
b55b55255c9cc39f40361208f4754143.jpg
 
Acha ujinga wako wa wakikuyu hapa, kama hukuelewa mbona ume comment, acha kuwa mtumwa wa Lugha, hasa lugha ya kigeni, lengo hapa ni kufikishiana ujembe, hatupo kwenye darasa la lugha, stupid.
sasa wewe unatumia english kwa nini kama hauielewi tumia kiswahili boss
 
sasa wewe unatumia english kwa nini kama hauielewi tumia kiswahili boss
Wewe ni mtumwa wa wazungu kama kawaida yenu, mara ngapi hapa mnakosea Kiswahili lakini hatuwasemi muhimu tunawaelewa?, You think English is a special language needs special treatment, I am not a slave like you a shithole person.
 
unajua ukiwa uko maskini na huna mvua ama natural resources zozote inaeleweka...ila mkiwa ndio nchi iliobarikiwa kabisa barani lakini bado mpo 4th world (LDC) inasikitisha sana...hivi, hizo gold, diamond, tanzanite, rainfall mnazifanyia nini? ama ni maridadi tu?
hizi resources tu zinatosha kutajirisha nchi kabisa
Tanzania , Rainfall tunaitumia vizuri sana kuwalisha wa Kenya ,
 
Wewe ni mtumwa wa wazungu kama kawaida yenu, mara ngapi hapa mnakosea Kiswahili lakini hatuwasemi muhimu tunawaelewa?, You think English is a special language needs special treatment, I am not a slave like you a shithole person.
Unaongea English tayari...ata haujielewi....kutoka lini electricity is transported
 
Back
Top Bottom