Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unajua unaweza ukapima economic development kwa vigezo mbali mbali mfano maendeleo ya soka yanaashiria spillover effect ya development na ndio maana nchi zote mfano hapa Africa zenye ligi na teams bora ni nchi zenye uchumi mzuri amabo ni halisi na sio uchumi artificial
alafu hawaongei sana, mnaingia uwanjan kamba 8 na huezi wakuta wanatamba 😂😂😂 kama hawajashinda vile
 
Watu wa vihoteli cheap hata kuwa na proper tour vans walijifunza kutoka kwetu! Walikuwa wanatumia hiace!
Mnapenda kujitekenya mkicheka. Ati sisi tukawacopy.😂😂😂
413103.png
 
Sasa hivi wamechanganyikiwa, yaani hii ya Tz imewauma sana, kuna data zao za Acess to electricity za Tz huwaga wanaweka 40%, siku wakijua TZ Ina 100% watapika Data na kupublish chap . Hawa hata data za paved roads wanapika, gdp wanpika .. everything.
Wanahindana na Tanzania wakati Tanzania is minding her own business.
no need kupika data, cha muhimu ni kuwacheka tu 😂 😂 😂 ndo kwanza president nae kashaanza kukatiwa umeme
 
Back
Top Bottom