stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 37,280
- 36,499
alafu hawaongei sana, mnaingia uwanjan kamba 8 na huezi wakuta wanatamba 😂😂😂 kama hawajashinda vileUnajua unaweza ukapima economic development kwa vigezo mbali mbali mfano maendeleo ya soka yanaashiria spillover effect ya development na ndio maana nchi zote mfano hapa Africa zenye ligi na teams bora ni nchi zenye uchumi mzuri amabo ni halisi na sio uchumi artificial