Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,234
- 33,453
Hapana, tutalipa $30B.tena ni pesa ndogo, hio stadium ni world class ilitakiwa ilipwe kama $3B ivi 😠😠ðŸ˜
Hapana, tutalipa $30B.tena ni pesa ndogo, hio stadium ni world class ilitakiwa ilipwe kama $3B ivi 😠😠ðŸ˜
Ngoja tufute kwanza vumbi tutanunuaSee the quality of your phone, nunua simu kijana😂😂🤣
thats the best price, apo sasa ndo mnakua mmelipa fair, hii ya saahvmnalipa kidogo sanaHapana, tutalipa $30B.
Itakua fireEverything… just like Talanta, utastuka … Westlands roads will be done differently to match the prestige of the area .. they will even install road furniture that doesn’t exist anywhere else in sub Saharan Africa. You see such things in America ( maybe Europe too).
Kama nyasi ya Talanta tu, utajua haujui …😜😆😆
Maybe we should let my “insider info “ battle your insider info … 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ushaona denial stage?Kuna watu watakosa content. 🤣 🤣
IshaonekanaUshaona denial stage?
Na hapo ndo EPICENTER of football in the region, 🤣 🤣 yaani walikua wanazinguaBarabara zote zinazohusiana na AFCON zinajengwa kwa kiwango cha lami na zege. Ikiwemo ile mbele yaviwanja wa Taifa nikiwahi kuisema humu ilikuwa inatia aibu.
Barabara around viwanja vikuu na viwanja vya mazoezi zote zinajengwa hadi ile ya kuelekea uwanja wa mbweni jkt.
na usafiri wa moja kwa moja kutoka kokote dar non stopBarabara zote zinazohusiana na AFCON zinajengwa kwa kiwango cha lami na zege. Ikiwemo ile mbele yaviwanja wa Taifa nikiwahi kuisema humu ilikuwa inatia aibu.
Barabara around viwanja vikuu na viwanja vya mazoezi zote zinajengwa hadi ile ya kuelekea uwanja wa mbweni jkt.