Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1788011479648.png
 
Hizo zote ni nyumba za tofali hakuna nyumba za mabati kama Kenya. Na hayo ndio maeneo ya watu wa hali ya chini kwa Dar.
Jaribu utumie hata akili ya kuzaliwa, nyumba ya mabati in Dar is slum nikama kuishi ndani ya jiko, shida ni weather conditions.
Hii pia ni tofali sio?

Image
 
Jaribu utumie hata akili ya kuzaliwa, nyumba ya mabati in Dar is slum nikama kuishi ndani ya jiko, shida ni weather conditions.
Hii pia ni tofali sio?

Image
Sio kweli, Dar hakuna nyumba za udongo, alafu kuhusu nyumba za bati Kenya ni kama uji kwa mgonjwa, zipo Kenya nzima, nikuulize swali Mombasa kuna baridi? Mbn nyumba za mabati na udongo zimejaa?
 
Sio kweli, Dar hakuna nyumba za udongo, alafu kuhusu nyumba za bati Kenya ni kama uji kwa mgonjwa, zipo Kenya nzima, nikuulize swali Mombasa kuna baridi? Mbn nyumba za mabati na udongo zimejaa?
Kwa hivyo unajua nyumba zote Dar is a slum? Hapo ni Dar is a slum, na hao ni polisi wenu.
 
Back
Top Bottom