President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,052
- 93,442
Jaribu utumie hata akili ya kuzaliwa, nyumba ya mabati in Dar is slum nikama kuishi ndani ya jiko, shida ni weather conditions.Hizo zote ni nyumba za tofali hakuna nyumba za mabati kama Kenya. Na hayo ndio maeneo ya watu wa hali ya chini kwa Dar.
Sio kweli, Dar hakuna nyumba za udongo, alafu kuhusu nyumba za bati Kenya ni kama uji kwa mgonjwa, zipo Kenya nzima, nikuulize swali Mombasa kuna baridi? Mbn nyumba za mabati na udongo zimejaa?Jaribu utumie hata akili ya kuzaliwa, nyumba ya mabati in Dar is slum nikama kuishi ndani ya jiko, shida ni weather conditions.
Hii pia ni tofali sio?
![]()
Taarifa ni hii hapa ya mwaka 2017. Kwenye mashambaJaribu utumie hata akili ya kuzaliwa, nyumba ya mabati in Dar is slum nikama kuishi ndani ya jiko, shida ni weather conditions.
Hii pia ni tofali sio?
![]()
Kwa hivyo unajua nyumba zote Dar is a slum? Hapo ni Dar is a slum, na hao ni polisi wenu.Sio kweli, Dar hakuna nyumba za udongo, alafu kuhusu nyumba za bati Kenya ni kama uji kwa mgonjwa, zipo Kenya nzima, nikuulize swali Mombasa kuna baridi? Mbn nyumba za mabati na udongo zimejaa?
Mamamko amekujengea yako ya matope kama hio au bado unalala kwake kama panya?Taarifa ni hii hapa ya mwaka 2017. Kwenye mashamba
Umeenda kusearch image ukidhani sio Dar is slum, woiiiiiii. 😂 😂 😂Taarifa ni hii hapa ya mwaka 2017. Kwenye mashamba
Kaka Mama yangu hahusiki kwenye mjadala wetu.Mamamko amekujengea yako ya matope kama hio au bado unalala kwake kama panya?
Mashamba ya DarUmeenda kusearch image ukidhani sio Dar is slum, woiiiiiii. 😂 😂 😂
Hama kwa mamako kwanza basi.Kaka Mama yangu hahusiki kwenye mjadala wetu.
Kumbe Temeke pia ni mashambani, nilidhani Dar is a slum is an urban area. 😂 😂 😂Mashamba ya Dar
We mzee dar sio slumKumbe Temeke pia ni mashambani, nilidhani Dar is a slum is an urban area. 😂 😂 😂
Mjadala wa Dar es salaam vs Nairobi umekushinda.Hama kwa mamako kwanza basi.
Temeke kubwa mno zaidi ya Nairobi. Imepakana na Mkoa wa Pwani. Mashamba ya Mihogo na Minazi ni mengi mno huko.Kumbe Temeke pia ni mashambani, nilidhani Dar is a slum is an urban area. 😂 😂 😂
Si huwa wanasema Dar ni three times the size of Nairobi. Ukiwaambia 50% of Dar ni mashamba wanatoa povu.😂 😂 😂Kumbe Temeke pia ni mashambani, nilidhani Dar is a slum is an urban area. 😂 😂 😂