Street Hawker
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 616
- 971
Hapa ss unalazimisha ๐๐๐๐๐๐Masidisi benzi imezungukwa tu na cabros. Nothing else View attachment 3658837View attachment 3658839View attachment 3658841
Hapa ss unalazimisha ๐๐๐๐๐๐Masidisi benzi imezungukwa tu na cabros. Nothing else View attachment 3658837View attachment 3658839View attachment 3658841
Hebu tuonyeshe picha za hybrid pitch ikiwa installed apo Zanzibar.Ss kwani uongo kwamba tulianza? Ni kweli kwamba tulianza sisi kuwa na uwanja modern mkubwa (Mkapa), tulianza kutumia hybrid grass technology (Amani), na ukizungumzia football stadium ni sisi ndiyo wa kwanza kabla yenu (Fumba stadium). Talanta ni multi purpose stadium sio ya soccer pekee.
Nalazimisha nini Nyamwezi? Isn't that suluhisho stadium aka masidisi benzi stadium?Hapa ss unalazimisha ๐๐๐๐๐๐
Picha umeweka nzr na zinavutia na hata nimezi save mana sijawahi kuziona, lkn kwa akili zako unataka kulazimisha zionekane mbaya.Nalazimisha nini Nyamwezi? Isn't that suluhisho stadium aka masidisi benzi stadium?
Cabros za kuweka kwenye street pavements mnaleta uwanjani? And then you call it beautiful? Of course kwa akili ya Nyamwezi it's the best thing everPicha umeweka nzr na zinavutia na hata nimezi save mana sijawahi kuziona, lkn kwa akili zako unataka kulazimisha zionekane mbaya.
Hiyo apo kampuni iliyo install hizo nyasi nenda uulizeHebu tuonyeshe picha za hybrid pitch ikiwa installed apo Zanzibar.
When yiu talk of football only stadium and multipurpose stadium what do you mean?
Shida iko wapi? Au mpk uone imewekwa ulaya ndo uone imependeza, acha ushamba, uliza maana ya hiyo cabros.Cabros za kuweka kwenye street pavements mnaleta uwanjani? And then you call it beautiful? Of course kwa akili ya Nyamwezi it's the best thing ever
we mzee sio kwamba hawajui wanajikuta machizi alafu usipoteze nguvu sanaHiyo apo kampuni iliyo install hizo nyasi nenda uulize View attachment 3658850
Hapa ni Old Trafford kwa nje mana nyinyi wakenya kwa ushamba mlio nao huwa hamliziki mpk muoneshwe kitu kama hicho ulaya.Cabros za kuweka kwenye street pavements mnaleta uwanjani? And then you call it beautiful? Of course kwa akili ya Nyamwezi it's the best thing ever
Compare and contrastPicha umeweka nzr na zinavutia na hata nimezi save mana sijawahi kuziona, lkn kwa akili zako unataka kulazimisha zionekane mbaya.
uwanja wao wamelipa $1.3B ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ i havent healedHapa ni Old Trafford kwa nje mana nyinyi wakenya kwa ushamba mlio nao huwa hamliziki mpk muoneshwe kitu kama hicho ulaya.View attachment 3658857View attachment 3658858
Hivi uko timamu kweli? Unataka mnachofanya nyinyi na cc tufanye hivyo hivyo? Ingekuwa hivyo basi Arusha stadium usingeitwa wa kisasa zaidi East and Central Africa mana c vingefanana na talanta.Compare and contrast
View attachment 3658856
Vs
View attachment 3658852
This...
View attachment 3658859
Vs this... ๐๐
View attachment 3658860