Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ss kwani uongo kwamba tulianza? Ni kweli kwamba tulianza sisi kuwa na uwanja modern mkubwa (Mkapa), tulianza kutumia hybrid grass technology (Amani), na ukizungumzia football stadium ni sisi ndiyo wa kwanza kabla yenu (Fumba stadium). Talanta ni multi purpose stadium sio ya soccer pekee.
Hebu tuonyeshe picha za hybrid pitch ikiwa installed apo Zanzibar.

When yiu talk of football only stadium and multipurpose stadium what do you mean?
 
Picha umeweka nzr na zinavutia na hata nimezi save mana sijawahi kuziona, lkn kwa akili zako unataka kulazimisha zionekane mbaya.
Cabros za kuweka kwenye street pavements mnaleta uwanjani? And then you call it beautiful? Of course kwa akili ya Nyamwezi it's the best thing ever
 
Hebu tuonyeshe picha za hybrid pitch ikiwa installed apo Zanzibar.

When yiu talk of football only stadium and multipurpose stadium what do you mean?
Hiyo apo kampuni iliyo install hizo nyasi nenda uulize
Screenshot_20260828_142922_Google.jpg
 
Cabros za kuweka kwenye street pavements mnaleta uwanjani? And then you call it beautiful? Of course kwa akili ya Nyamwezi it's the best thing ever
Shida iko wapi? Au mpk uone imewekwa ulaya ndo uone imependeza, acha ushamba, uliza maana ya hiyo cabros.
 
Cabros za kuweka kwenye street pavements mnaleta uwanjani? And then you call it beautiful? Of course kwa akili ya Nyamwezi it's the best thing ever
Hapa ni Old Trafford kwa nje mana nyinyi wakenya kwa ushamba mlio nao huwa hamliziki mpk muoneshwe kitu kama hicho ulaya.
Screenshot_20260828_143557_Google.jpg
Screenshot_20260828_143519_Google.jpg
 
Back
Top Bottom