mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,781
- 6,481
Si yuko majuu hata Mwalimu Nyerere aliwambia zama zile.Bona mtz akija Kenya. ...anasuasua.....anafanana kama m2 ameenda ...majuu
Si yuko majuu hata Mwalimu Nyerere aliwambia zama zile.Bona mtz akija Kenya. ...anasuasua.....anafanana kama m2 ameenda ...majuu
And we own this forum as wellOooooh lkn iii ni Kenyan section
Habari hizi hawawezi weka pale politics palace watapingwa vikali na wenzao.Oooooh lkn iii ni Kenyan section
Haha acheni ushambenga vijana mnaweza kukausha tu naona imewauma sanaHabari hizi hawawezi weka pale politics palace watapingwa vikali na wenzao.


Mm na wewe nani bongolalaHuo utoto mzee kama unaona ni kiherehere sishangai huo ni uboya na ukilaza uliopitiliza hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyo kiazi mviringo
Ujue hii ndinga naionaga sana moro kali kinyamaaa
Sijajua unaongelea nini au unamaanisha nini usiwe out of context jombaa stick to the issueMm na wewe nani bongolala
Nn ime2uma.Haha acheni ushambenga vijana mnaweza kukausha tu naona imewauma sana![]()
Tununue sex doll kwan tz wanawake wabaya ka wa kwenu kenya ???hahahahaha sex doll nani anaeza afford..bongolala![]()
Asante sana kwa kumuheshimu na kumuenzi baba wa Taifa na Afrika kwa ujumla, kule HQ ya Afrika, Ethiopia kuna jengo kubwa limepewa jina lake, alikuwa mtu wa kipekee kabisa, aliweza kumaliaza kabisa ukabila, alijenga nchi yenye usawa na umoja, aliweza kuzilinda na kuhifadhi mali zetu za asili zisiporwe na viongozi wachache wenye tamaa, alipunguza pengo la masikini na tajiri, ulituachia urithi wa amani, umoja, kuheshimiana na kupendana. R.I.P.Si yuko majuu hata Mwalimu Nyerere aliwambia zama zile.
Wana nn wakwenuTununue sex doll kwan tz wanawake wabaya ka wa kwenu kenya ???hahahahah
We nawe una muwasho, Mombasa imeshakuaribuWako ......lkn sisi....wa254 huwa hatuna haja yakujua vile bongoo kunaendelea
Asante sana kwa kumuheshimu na kumuenzi baba wa Taifa na Afrika kwa ujumla, kule HQ ya Afrika, Ethiopia kuna jengo kubwa limepewa jina lake, alikuwa mtu wa kipekee kabisa, aliweza kumaliaza kabisa ukabila, alijenga nchi yenye usawa na umoja, aliweza kuzilinda na kuhifadhi mali zetu za asili zisiporwe na viongozi wachache wenye tamaa, alipunguza pengo la masikini na tajiri, ulituachia urithi wa amani, umoja, kuheshimiana na kupendana. R.I.P.

We unawashwa na dar slumWe nawe una muwasho, Mombasa imeshakuaribu
Where did you get that info, coz I can tell you where I got the information from about Tanzania being an LDCBe informed that, you live in a country which is among the list of only five countries on the global with severe hunger, others are Somalia, Yemen, South Sudan and DRC. These other countries have civil wars, Kenya is relatively calm, why severe unended hunger?
Soma comments kwa huu uzi ulioko Jukwa la siasa... HeheCuts to UK aid: package to drought-hit Kenya to end in 2024
Mbona simuelewi huyu Trump, hata nchi zilizomuunga mkono kuhusu suala la Jerusalem, tena zikarudia kumtetea alipotusi nchi za Africa bado anafunga ofisi muhimu kama hizi.