Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkoa wa [HASHTAG]#Ruvuma[/HASHTAG] umebarikiwa kwa kuwa na ardhi nzuri arable pia ni kati ya mikoa the nayoilisha nchi kwa kuwa na mavuno yasio na kifani.

Pia mkoa wa [HASHTAG]#Ruvuma[/HASHTAG] ndio mkoa unao control biashara ya usafiri katika lake Nyasa ambapo mkoa una meli nyingi za abiria pamoja na mizigo zinazofanya safari katika ports zote za lake Nyasa upande wa Tanzania, Malawi na Mozambique.

[HASHTAG]#31TzRegions[/HASHTAG] #10 [HASHTAG]#Ruvuma[/HASHTAG] [HASHTAG]#Tanzania[/HASHTAG]

375px-Tanzania_Ruvuma_location_map.svg.png
Mmmbuji.jpg
images-27.jpg
1.jpg
IMGS7628.jpg
7.JPG
DSCF0758-733712.JPG
images-26.jpg
images-25.jpg
images-24.jpg
images-23.jpg
images-22.jpg
CxyF14qXUAAknRP.jpg
lake-malawi-cruise-boat.jpg
images-21.jpg
mv songea kituoni.jpg
images-20.jpg
images-18.jpg
 
pamoja na u-ldc wetu, wapo wakenya ambao wanaota ndoto usiku na mchana mamalaka za tanzania ziwatambue kama raia halali wa tanzania.

hawataki kabisa kutambuliwa kama wakenya....wengi tunaishi nao kama ndugu zetu katika mikoa mbalimbali hapa tanzania.

2dcdad674e2cd32d1ef6e2372a576cb7.jpg
Ni kichaa pekee anayeweza kusifia status ya Lower middle income bila kuangalia nini kimepatikana kutokana na hiyo status, kama bado watu wanakufa kwa njaa, bado watu wanaishi katika slums, bado hakuna employment kwa vijana, bado maji safi na salama mijini hakuna, wakati nchi inayoitwa ldc wanavyo hivyo vyote.
 
pamoja na u-ldc wetu, wapo wakenya ambao wanaota ndoto usiku na mchana mamalaka za tanzania ziwatambue kama raia halali wa tanzania.

hawataki kabisa kutambuliwa kama wakenya....wengi tunaishi nao kama ndugu zetu katika mikoa mbalimbali hapa tanzania.

2dcdad674e2cd32d1ef6e2372a576cb7.jpg
Kelele nyingi oooo ldc kumbe wanataka kuishi Tanzanian dream
 
Mkoa wa [HASHTAG]#Ruvuma[/HASHTAG] umebarikiwa kwa kuwa na ardhi nzuri arable pia ni kati ya mikoa the nayoilisha nchi kwa kuwa na mavuno yasio na kifani.

Pia mkoa wa [HASHTAG]#Ruvuma[/HASHTAG] ndio mkoa unao control biashara ya usafiri katika lake Nyasa ambapo mkoa una meli nyingi za abiria pamoja na mizigo zinazofanya safari katika ports zote za lake Nyasa upande wa Tanzania, Malawi na Mozambique.

[HASHTAG]#31TzRegions[/HASHTAG] #10 [HASHTAG]#Ruvuma[/HASHTAG] [HASHTAG]#Tanzania[/HASHTAG]

View attachment 681997 View attachment 681998 View attachment 681999 View attachment 682003 View attachment 682004 View attachment 682006 View attachment 682008 View attachment 682010 View attachment 682012 View attachment 682014 View attachment 682016 View attachment 682017 View attachment 682018 View attachment 682020 View attachment 682022 View attachment 682023 View attachment 682024 View attachment 682025
Ruvuma peke yake inaiilisha kenya yote Franklin
 
[HASHTAG]#Ruvuma[/HASHTAG] ina idadi nzuri ya tembo na vivutio vinginevyo lukuki vya kitalii kwa kifupi Tanzania kila mkoa una tourists attraction tena sio vya mchezo, pia ujenzi wa barabara umepata kasi kubwa Sana.

[HASHTAG]#31TzRegions[/HASHTAG] #10 [HASHTAG]#Ruvuma[/HASHTAG] [HASHTAG]#Tanzania[/HASHTAG]

375px-Tanzania_Ruvuma_location_map.svg.png
unnamed.jpg
images-17.jpg
images-16.jpg
images-14.jpg
ziwa1.jpg
Ruvuma-river-expedition.jpg
images-15.jpg
river-expedition-granite-hills.jpg
images-13.jpg
unnamed (11).jpg
images-11.jpg
bc305bb91ae313360ee903.jpg
ta7.jpg
images-12.jpg
BWbt47xCUAAUS0q.jpg
river_tanzania_wetseason.jpg
rufiji.jpg
 
So far I have done six counties in Kenya ......the 41 more to go mtapata kwa portal....lol.But one thing is common.....those Tanzanian towns are too sleepy ...lol.no sight of a single new building or feeder road under construction .
Hahaha mziki umekua mnene? Ungeendelea tu my friend hata sisi tunataka kuijua Kenya zaidi.
 
So far I have done six counties in Kenya ......the 41 more to go mtapata kwa portal....lol.But one thing is common.....those Tanzanian towns are too sleepy ...lol.no sight of a single new building or feeder road under construction .
Huoni jamaa anatuletea nyumba moja moja instead ya aerial ju anajua hamna kitu hapo
 
Huoni jamaa anatuletea nyumba moja moja instead ya aerial ju anajua hamna kitu hapo
Tanzania regions sio cities wala towns huko maeneo ni makubwa, Tanzania mtu anamiliki eneo lake kubwa hivyo it's so difficult to take one shot with many homes sababu hawajabanana kama huko nilishangaa kuona mji kama Mandera na mingine inayochipukia makazi yamebana kama slums in tanzania you won't find that in upcoming regions people live large even in town areas.
 
Back
Top Bottom