Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapo sasa unaongea ila tia bidii zaidi na muachane zile visingizio eti sijui wazungu ndio walijenga Kenya. Kenya tumeujenga sisi wenyewe vile tu mnavyojenga Tanzania tofauti ni kwamba sisi ni more aggressive kuwaliko.
Wewe kichwa yako ni mbovu sana, hivi unaelewa maana nchi?, Nation is not just buildings and roads, ninyi hamjajenga nchi, ila mumejenga majengo na na infrastructure pekee, Tanzania ndiyo tuliojenga nchi, sasa hivi ndiyo tunatoa mkazo katika ujenzi wa majengo na infrastructure zingine.
Sasa kama hadi leo mnabaguana, kuna wanaohisi sio sehemu ya Kenya na hawapendibkuitwa Kenya, kazi zinatoliwa kwa misingi ya ukabila na uongozi wa nchi upo kwa misingi ya ukabila, utasemaje mumejenga nchi?, watu wenye akili ndogo kama wewe ni wengi sana huko Kenya ndiyo sababu uchumi nchi ya Kenya inaporomoka kwa kasi sana katika kila sector. Kabla hujasema kitu, jaribu kujiuliza hicho unachokisema unamaanisha nini, ni maendeleo gani unayozungumza?
 
Mnajitumaga kufanya nini sasa?
Maana Kenya 43% live below poverty line,
Youth Unemployment rates 45%,
Hunger kills millions every year,
Mnajituma kufanyaje? Au kugegeda Mbuzi na kuku na kubaka kina mama kwenye Maternity ?
Ni 45% mkubwa angalia kenya kwa hizo column za pili mwisho
 
Hapo sasa unaongea ila tia bidii zaidi na muachane zile visingizio eti sijui wazungu ndio walijenga Kenya. Kenya tumeujenga sisi wenyewe vile tu mnavyojenga Tanzania tofauti ni kwamba sisi ni more aggressive kuwaliko.
Tunakuja kwa speed ya light...
 
Those guys are just applying basic chemistry lessons they learnt in school to earn a living. I wonder if chemistry is ever taught in Tanzanian 'schools'
Ficha aibu yako saa ingine,Kuna nn mnasoma cha ziada apo ke? Masomo ni yaleyale uache kujiondoa ufaham
 
Mnajitumaga kufanya nini sasa?
Maana Kenya 43% live below poverty line,
Youth Unemployment rates 45%,
Hunger kills millions every year,
Mnajituma kufanyaje? Au kugegeda Mbuzi na kuku na kubaka kina mama kwenye Maternity ?
 
Those guys are just applying basic chemistry lessons they learnt in school to earn a living. I wonder if chemistry is ever taught in Tanzanian 'schools'
We never teach Chemistry now days, we are concentrating more in teaching tribalism and corruption so as to get status of Lower middle income country earlier
 
Lazima mtajibeba safari hii, kuna wakati huwa ninapitia mpaka wa Horohoro na Lungalunga kwa wadigo, Kwale county, kijiji cha Vanga alikotoka Juma Boi, poverty kule ndiko ilikozaliwa, ninakatiza katika yale mashamba ya miwa ya ramisi sugar factory, kwanini kile kiwanda hakifanyi kazi siku hizi?
Bado ni story tu Ambayo inaeza elezewa na mtu yoyote ... Juma boi alikua senator wa Kwale, county Ambayo iko kwa top 5 poorest counties in Kenya... Fanya hivi basi, next time ukija Nairobi chukua mapicha mengi kabisa na uyabandike hapa kuanzia border point hadi ukifika destination
 
Bado ni story tu Ambayo inaeza elezewa na mtu yoyote ... Juma boi alikua senator wa Kwale, county Ambayo iko kwa top 5 poorest counties in Kenya... Fanya hivi basi, next time ukija Nairobi chukua mapicha mengi kabisa na uyabandike hapa kuanzia border point hadi ukifika destination
Muhimu nikifika nitakutafuta tuonane, mimi sio mzuri sana katika kupiga picha, nitakutafute tukutane pale Yaya Centre ndani kuna mall nzuri sana.
 
4d18d9f88878dfc890491a1cafc20911.jpg
6e87d9c4ae71ac3fa76a8834b7683d83.jpg
313f578790876da944729b3129825e7b.jpg
4250e3adfacc740a1c19463e590c07c8.jpg
491b6b8db6326588c204476a153d5827.jpg
6f03d5abfa43e04ddaf320b3604af35c.jpg

5ad4a991c312711c63b683eeecd41fb2.jpg


So Sahivi per capital ni $ 1700,Nyang'au 1800
Na zile story kwamba tuna millionare 2400 zimeishia wap???
Wapo 5700
 
Back
Top Bottom