Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mara ooh VAR iko wapi? Mara sijui goal-line technology iko wapi? Sijui eti hybrid pitch iko wapi? Mara ooh tuonyeshe foldable seats 😄😄

What these Nyamwezis don't understand is that this is a process and everything comes at the right time.

Oneni sasa we are getting ready for hybrid grass stitching!
FB_IMG_1787030389074.jpg
 
Ile aibu inatungoja 2027 kama afrika mashariki kutoka Arusha msituni bado iko kwa gym inapiga press-ups 🤣🤣
Alafu na zile kelele zao Arusha remains the only stadium without a VIP section

1000372438.jpg
 

View: https://x.com/moneyacademyKE/status/2026567843123495321 hii ilikua feb,serikali itafanya jambo la kijinga sana kuiunganisha kenya kwenye hii project,kwanza wao wameshindwa kuiendeleza project yao now wanataka kudandia project za wenzao!

Kenya itaunganishwa kwenye old meter gauge only ila kwenye SGR sidhani maana mifumo ya control ni tofauti kabisa na pia diesel trains infrastructural requirements kama refueling hatuna hizo provisions huku kwetu. Hivyo itakuwa challenge sana ku manage Kenyan trains on Tanzanian rails.
 
Back
Top Bottom