Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,040
- 17,736
Kwani hii ni yetu? Hauitaki?ππmbna mm sjafanya kosa lolote nawapostia uwanja wenu au hamtaki
View attachment 3647231
Kwani hii ni yetu? Hauitaki?ππmbna mm sjafanya kosa lolote nawapostia uwanja wenu au hamtaki
View attachment 3647231
naweza kuzaliwa tanzania nkaenda kuomba citizenship kenya na nkapata ππππ
Mbna tumecheza last 2 months ama hauna mtokeo mengine zaidi ya hayo miaka 8 nyuma?
View: https://www.youtube.com/watch?v=k3YttfNFnxc&pp=ygUWa2VueWEgdnMgdGFuemFuaWEgdSAxNw%3D%3D
He is a KenyanIs this a Kenyan or not?πππ€£ππView attachment 3647230
nashangaa umeacha kunyoa, sjui kazi imekushinda
Mbna tumecheza last 2 months ama hauna mtokeo mengine zaidi ya hayo miaka 8 nyuma?
View: https://www.youtube.com/watch?v=k3YttfNFnxc&pp=ygUWa2VueWEgdnMgdGFuemFuaWEgdSAxNw%3D%3D
kwan sio wakenya?U-17?π€£π€£
Wakunya ni vichwa ngumu. Hata simple facts unapaswa uwaelezee kama unaelezea mtoto wa chekechea ndio wanakuelewa. Very stupid peoplesio kwamba hajui ni denial inamsumbua just relax tunataka asikimbie
Mbona mwenzako anakazana sio mkenya?ππ€£πHe is a Kenyan
who cares? so tulicheza na nan hao au wakikuyu?
Wale tuliwashinda AFCON ni waganda?kwan sio wakenya?
kwan kuna mtu kabisha, πππ kwan hata wewe huezi kuomba citizenship ya uganda na ukapewa ili biashara zako ziende πMbona mwenzako anakazana sio mkenya?ππ€£π
sasa kumbe akili unayo kwahio hao u17 ni wakikuyu au? alafu mwaka wa 8 huna reference ingine zaidi ya hio mechiWale tuliwashinda AFCON ni waganda?
ivi umechoka kazi?
no one thats why waliofungwa ni waluo π π π π
Hawa wanyamwezi mara ya mwisho walitushinda ni 16 years ago tena ilikuwa ni mechi ya kirafiki ππ
mm mwanzon nlikua najua ni some brand skills from some advanced kenyans ππππ kumbe kampuni la watuMbona mwenzako anakazana sio mkenya?ππ€£π
By the way mambo ya FIFA Ranking mliachana nazo?π€£π€£πwho cares? so tulicheza na nan hao au wakikuyu?
ningekua mm ni wewe ningeona aibu πππ using a 10 year old match as reference πππππππππππππππHawa wanyamwezi mara ya mwisho walitushinda ni 16 years ago tena ilikuwa ni mechi ya kirafiki ππ
Kampuni la mkenya.mm mwanzon nlikua najua ni some brand skills from some advanced kenyans ππππ kumbe kampuni la watu
View attachment 3647244