Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umeshindwa kutaja Clan ya Mo Dweji?😂🤣🤣🤣
au unasemaje, watakua wamekosea hawajui clan yake sio? 😂
1786285776366.png
 
Kwani tulikuwa tinajadiliana kuhusu Obama tena?🤣🤣😂😂.

Inaonekana pigo imekuwa nzito sasa unatapatapa Tu🤣🤣😂🤣
mm mbna sjasema chochote mm nmekwambia ni mtanzania ukasema hapana, au na hawa wamekosea hawajui clan ya obama?
1786285816014.png
 
Kwani tulikuwa tinajadiliana kuhusu Obama tena?🤣🤣😂😂.

Inaonekana pigo imekuwa nzito sasa unatapatapa Tu🤣🤣😂🤣
lakini si ulikua unasema dewji sio mtanzania ama umebadilisha tena?
1786285950523.png
 
Huyo ni Mwarabu. Mtanzania ni mtu ka wewe, Mo Dweji ni Mwarabu🤣😂😂
Singida ipo which part of Uarabuni?
You people don't realize Tanzania imekuwa nchi wakati tayari jamii zake zimeshachanganyika tayari, endeleeni kulia
 
mm akhaa sjasema ivo, nmesema ukiangalia gari zilizo ndan ya kenya vs exported ones, za ndan znaonekana takataka kumbe kampuni la watu 😂😂😂
Si wewe mwenye amesema ATI buses zenye zinakuwa exported by AVA and Master ni top notch?😂😂🤣😂
 
Malkia Strikers. The most successful women's national volleyball team in Africa. With 10 continental tittles in their name, there's no team in Africa that comes close. Will they make it eleven tittles when Kenya hosts the continental showpiece later this year in Nairobi? Your guess is as good as mine
images - 2026-08-09T175414.846.jpeg
images - 2026-08-09T175344.579.jpeg
pg-29-Malkia-Strikers√.jpg
images - 2026-08-09T175439.545.jpeg

IMG-20250209-WA0046.jpeg
FB_IMG_1786190420579.jpg

Btw, does Tanganyika even have a women's volleyball national team? I hear they are a sporting nation 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom