Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Atleast CCM propaganda ila vitu vinaonekana , hakuna majengo ynayoanguka ovyo kuliko kule ambako kuna kibali error mnajisifia kuwa na flats nyingi ila daily majengo yanadondoka kwa sababu ya quality mbovu
waacha dawa iwaingie watakaa vizuri tu, ni vilew news imekuja mda wamechakazwa 4
 
Ngapi zimedondoka Leo? Na Jana? What about juzi?

Kiswahili uwe unaelewa na tafsida zake, Leo Inaweza wakilisha mwaka itategemeana na muwasilishaji,
Within 2 years more than 8 buildings zimedondoka kwa Nairobi pekee hapa hakuna hata tectonic plates kama dodoma
 
Biggest in Africa

View: https://www.instagram.com/p/DbVfTCsj53N/

meanwhile
1785264820267.png
 
Kiswahili uwe unaelewa na tafsida zake, Leo Inaweza wakilisha mwaka itategemeana na muwasilishaji,
Within 2 years more than 8 buildings zimedondoka kwa Nairobi pekee hapa hakuna hata tectonic plates kama dodoma
Dar ndio hazidondoki?
 
Back
Top Bottom