Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This interior is ugly and the floor is substandard.

View attachment 3637927
Huoni hiyo floor bado ni vumbi.? 😂😂 who told you iko ready.? Can’t you see vumbi in there. Yani juu waeke ceiling ya maana halafu chini waache hivyo.? Tuliza tako ujenzi uishe then come ulinganisha na zile domestic interiors zenu. 😂😂😂
 
Nashangaa anataka kufananisha nyumba zilizojengwa na mchanga, cement na matofali, na zile za Kibera wamejenga kwa mabati na matope
Wao wakiona tu rust kwenye mabati wanadhani ni sawa na Kibera. Noo they are not the same 😂😂
zile zao ni mbavu za mbwa! Nairobi ina nyumba za matope tangu Uhuru mpaka leo!
 
Huoni hiyo floor bado ni vumbi.? 😂😂 who told you iko ready.? Can’t you see vumbi in there. Yani juu waeke ceiling ya maana halafu chini waache hivyo.? Tuliza tako ujenzi uishe then come ulinganisha na zile domestic interiors zenu. 😂😂😂
Substandard floor, ugly interior. Look at how dull the walls are.

1000348046.jpg
 
Quality of life ya Zanzibar ni tofauti na Kisumu... Unaweza kuangalia mwenyewe huko huko ulikochukua takwimu. Angalia mtaani Zanzibar wanaishi vipi na mtaani huko Kisumu wanaishi vipi... Takwimu za mitandaoni sometimes ziko doctored.

Pia Zanzibar Iko under exploited. Wana resources nyingi sana ambazo hata waki double population wanaweza kuishi. The problem ni hizo slums tu na vile mnazidi kubanana kwa wingi eneo moja.
Magoli zishaabadilishwa. Wadanganyika bana.😂😂😂
 
Magoli zishaabadilishwa. Wadanganyika bana.😂😂😂

Angalia maisha ya Zanzibar watu wake na amenities walizo nazo. Then linganisha na Kisumu.

Hapo kama ni kuhamisha magoli labda ukimbie wewe tu.
 
Angalia maisha ya Zanzibar watu wake na amenities walizo nazo. Then linganisha na Kisumu.

Hapo kama ni kuhamisha magoli labda ukimbie wewe tu.
Nah bruh.
You started the argument by comparing GDPs, I proved to you that Kisumu is actually doing better than Mbeya in terms of GDP with facts.
Then you went on to ramble how Kisumu is too small to have a population of 1 million and claimed that we have no family planning on Kenya. I proved to you that Kenya has in fact the highest family planning success in East Africa and proved to you that Zanzibar has more people per sq. Km than Kisumu With a lower GDP per capita, yet it is one of your main economic zones. Sasa umehamia kwa slums. Zanzibar yenyewe hiyo kwa picha, 90% slums.😂😂
I was prepared to walk you through this particular issue, but your silly sealioning response suggests the effort would be entirely wasted. You've shown little capacity for understanding the subject, so I'll leave you to your preferred version of reality. Have a good day.

Screenshot_20260727-144952.png
 
Zanzibar has an area of 2k sq. Km with a population of 1.8M and a GDP of 3.75B AMARII THE LIKER. That's an area same as Kisumu county, a population larger than Kisumu county and a GDP smaller than Kisumu county........and Zanzibar is one of Vumbistan's most important economic zone. You need some education AMARII THE LIKER.
Wakenya hizo GDP zenu ni fake economy. Coz nchi yenu mna matatizo kuliko sisi. Kenya ina umasikini ambao huwezi kuupata anywhere in Tanzania
Mfano njaa kwa millions of people. Sasa hiyo GDP yenu inaenda wapi. Hata hapa I'm sure Zanzibarim watu wana maisha mazuri kuliko Kisumu. Nchi yenu ni ya ajabu sana, na inasikitisha
 
Nyamwezi, these are residential areas for ordinary wananchi in Zanzibar
View attachment 3637965View attachment 3637966View attachment 3637967View attachment 3637968View attachment 3637969

And this is the equivalent of Kisumu

View attachment 3637970View attachment 3637971View attachment 3637972View attachment 3637974View attachment 3637975View attachment 3637978View attachment 3637980View attachment 3637981

Now, by just looking at these two places, ni wapi ndio tunawezasema
Watu wamebanana kwa uwingi eneo moja?
Zanzibar is better than Kisumu
Kwanza Zanzibar ni better than Mombasa, let alone Kisumu
Discover-Zanzibar-banner_.jpg
Screenshot_20260727-145457.png
 
Back
Top Bottom