Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,663
- 107,089
Hatuna hela ya kuangalia mpira wakati tukijaza uwanja wakati wa Chan mlishindwa kufanya hivyohawana hela ya kuangalia mpira so hawajui chochote kinachoendelea infact kesho yenyewe WAFCON inaanza
uzuri sisi tunawajua vizuri 😂 😂 alafu mwingine anapost uhalisia mwingine anapaka filta 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂, btw sisi ndo tulikua wa kwanza kuwaambia the grass is fake mkaendelea na filter mpaka nyasi zikatolewa 😂😂
madame move on, CHAN ilishafutwa and ilikua bonanzaHatuna hela ya kuangalia mpira wakati tukijaza uwanja wakati wa Chan mlishindwa kufanya hivyo
Ivi wakati mnaenda lesotho naskia mlilala jikon 😂Hatuna hela ya kuangalia mpira wakati tukijaza uwanja wakati wa Chan mlishindwa kufanya hivyo
Nani hafahamu tickets mlikuwa mnanunuliwa na wanasiasa huku mkivunja mageti ili muingie bure washamba ninyi. 😂😂😂Hatuna hela ya kuangalia mpira wakati tukijaza uwanja wakati wa Chan mlishindwa kufanya hivyo
Geza Ulole can you show us grass in Arusha stadium?
watu wanafocus na dodoma stadium nyie bado mko na grass duuGeza Ulole can you show us grass in Arusha stadium?
Unaambiwa ni first technology kuwahi kutokea Africa. 😂😂😂Kwanini hawa kenge wasikwangue tabaka lote la juu la udongo hapo uwanjani halafu waweke udongo mpya ndio wapande nyasi upya!?
Hapo watakuwa wanacheza na sprays tu... Siku ya mechi uwanja green... Afta 3 days uwanja brown na vipara kibao.
Unaambiwa ni first technology kuwahi kutokea Africa. 😂😂😂
na kwel ni first tech 😂 for the first time majani yanahesabikaUnaambiwa ni first technology kuwahi kutokea Africa. 😂😂😂
Mazao ya kilimo tu wameshindwa kuotesha ndo itakua hizo nyasi, saaahv wanapiga deodorantJamaa wana ufala mwingi sana... Badala ya kufanya treatment ya udongo wanakazana tu ku spray na kumwagilia maji. Hakuna matokeo ya maana hapo.