Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

jana nimemwambia ivi, ningekua mm ni yeye saaahv ningekua nalia because the only client they have anaenda kutia saini sehem ingine ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

View attachment 3635355

View attachment 3635356


meanwhile sisi uku tuna SADC nzima plus EAC

Tunawapumulia kisogoni na bado hawashituki. Badala wawaze mambo yao wako kuhanaika na mambo ya watu.

Ndio shida ya kuishi kwenye maisha ya uongo uongo na propaganda kwenye ulimwengu wa kidigitalii... Intelligence service yao ndio kifo Cha mende hivyo ndembee ndembee.... Wamejiweka kwenye kupandikiza chuki tu saiv... On ground wameshalowaaa
 
Tunawapumulia kisogoni na bado hawashituki. Badala wawaze mambo yao wako kuhanaika na mambo ya watu.

Ndio shida ya kuishi kwenye maisha ya uongo uongo na propaganda kwenye ulimwengu wa kidigitalii... Intelligence service yao ndio kifo Cha mende hivyo ndembee ndembee.... Wamejiweka kwenye kupandikiza chuki tu saiv... On ground wameshalowaaa
ingekua mm ni Nicxie ningelia sana, mtu anawateja boda nzima wewe una mteja mmoja na bado hakutaki ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
1784803720595.png
 
Back
Top Bottom