Kipindi cha magu mradi wa DMP ndio ulitengeneza zile barabara za buza,kiwalani,jet,temeke,mbagala yote,hadi lile daraja linalounganisha buza na mbagala,ilikua project ikiisha wilaya ya tmk na ilala uhamie ubungo na kinondoni,nakumbuka maeneo ya malamba mawili na kiluvya hadi watu walishaanza kulipwa pesa za kuhamishwa ili barabara zipite,hata ulipopotelea ule mradi,nakumbuka magu wakati anafungua stendi ya magufuli aliongelea hizo barabara pamoja na barabara ya kisarawe kutokea kiluvya na malamba mawili,alidai pesa ipo,hiyo bado,ile highway kimara to kibaha hata sielewi kama ndio ishaisha au bado 😃,mradi umeganda tu mwaka wa 5 huu