Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

na huna taarifa kuhusu wachina wanajenga kiwanda kikubwa cha cement mara mbili ya dangote kitazalisha 7m tons per year ujenzi ushaanza tanga, hio ndio taarifa nakupa mkenya na cost yake ni 1.2b usd
Sina taarifa kivipi,kwani umesoma hiyo nukuu nimeandikaje? Sawa mtanzania nimeipokea
 
Ni percentage ngapi ya kms za barabar zilizopo katika kila nchi?Hiyo italeta picha halisi
Swali halijakamilika hili.

Halieleweki.

Percentage ngapi ya kms za barabara zilizopo katikakila nchi?

Unachotakakuuliza ni nini hapa?

Ukiuliza nipercent ngapi ya bararbara zote katikakila nchi zina lami, swalilitakuwa na mantiki.

Mtu atachukua barabara zote, kuangalia barabara zilizo na lami, akatupa percent ya zenye lami kutoka jumla.

Ukiuliza "ni percentage ngapi ya kms za barabara zilizopo katikakila nchi?" swali halieleweki.
 
land rover of 1950😀😀😀😀
0413F605-2B52-4000-8972-D3A764BFB1E9.jpeg
 
Ni percentage ngapi ya kms za barabar zilizopo katika kila nchi?Hiyo italeta picha halisi
Tanzania ni kubwa mara mbili size ya Kenya, hiyo maana yake ni kwamba 10% ya barabara za Tanzania, urefu wake ni sawa na 18% ya barabara za Kenya, kwahiyo kila kipimo unachotumia lazima ujue tafsiri yake. Tunapolinganisha urefu kwa kilometa, lengo ni kujua ni nchi gani imejenga barabara nyingi zaidi, hiyo italeta maana nzuri kuliko percentages.
 
Hata kama vyote vinaketa pesa,ishu ni how much,,kuna bandari kibao bongo na zote zinaleta pesa lakini nguvu kubwa inapelekwa bandar ya dar,why?
Sidhani kama kuna haja ya kujenga international airport huko sumbawanga ni upotevu wa pesa
 
Tanzania ni kubwa mara mbili size ya Kenya, hiyo maana yake ni kwamba 10% ya barabara za Tanzania, urefu wake ni sawa na 18% ya barabara za Kenya, kwahiyo kila kipimo unachotumia lazima ujue tafsiri yake. Tunapolinganisha urefu kwa kilometa, lengo ni kujua ni nchi gani imejenga barabara nyingi zaidi, hiyo italeta maana nzuri kuliko percentages.
Ok ndo hivyo but ukiweka percentage ya mtandao wa barabara utajua kama umejitahidi au unafanya marktime,sio sawa mwenye mtandao let say km 100 akajenga km 20 na ww mwenye km 250 ukajenga km 30 then ujisifu,sio sawa
 
Back
Top Bottom