Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu uwanja wenu kila nikiuona nacheka, ni uwanja mzr ila finishing mbv sn, inahitaji wakenya mpige kelele mambo yasiende kijuakali, cku Africa imeamka wanataka levels na sio bora liende.
Relax. utacheka zaidi, bado mambo
1000022703.jpg
1000022706.jpg
 
lakini hio road si iko under construction and tumekuonyesha current progress, ama ni maumivu makali sana?
View attachment 3627776
You think barabara ndio kitu cha pekee lacking and needed in that place? What other supporting infrastructure ziko hapo?

Hiyo ushagoo iko hata na hoteli mita tano kutoka hapo? Restaurants je? What about hospitals? Leisure places je like recreational parks where fans can unwind before and/or after games? Na vipi kuhusu gyms? What other modes of transport are there apart from barabara za vumbi? Are there trains connecting to the stadium? Kama kama uwanja utapatia mashabiki and even players bad experience during AFCON basi ni hii maku yenu.

Alafu minyamwezi yamekazana kupost nyasi ya Talanta ambayo has all the above-mentioned supporting infrastructure. Desperation ni mbaya jameni 😂😂😂😂
 
You think barabara ndio kitu cha pekee lacking and needed in that place? What other supporting infrastructure ziko hapo?

Hiyo ushagoo iko hata na hoteli mita tano kutoka hapo? Restaurants je? What about hospitals? Leisure places je like recreational parks where fans can unwind before and/or after games? Na vipi kuhusu gyms? What other modes of transport are there apart from barabara za vumbi? Are there trains connecting to the stadium? Kama kama uwanja utapatia mashabiki and even players bad experience during AFCON basi ni hii maku yenu.

Alafu minyamwezi yamekazana kupost nyasi ya Talanta ambayo has all the above-mentioned supporting infrastructure. Desperation ni mbaya jameni 😂😂😂😂
Ever heard of chamazi or azam complex? if not then tuliza wenge hujui chochote kuhusu CAT 4, meanwhile tukiendelea na kinyozi wetu
1783889612317.png
 
Haya ni maoni yake..it does not represent wakenya wote ata expressway walisema hivyo ,kwa sai kila mtu anaipenda....wachana na story za twitter fika kwa ground ujionee..unaumia sana na wakenya..na tayari tushawapiga knockout pale lamu..
Your Gods wakusaidie someday uelewe economics
 
Huu uwanja wenu kila nikiuona nacheka, ni uwanja mzr ila finishing mbv sn, inahitaji wakenya mpige kelele mambo yasiende kijuakali, cku Africa imeamka wanataka levels na sio bora liende.
Fanya hivi, hebu tuonyeshe interior parts za Samia stadium tuone ni gani iko na finishing mbovu.

Show us lobbies, entrances, staircase areas, lift lobbies, VIP and VVIP sections, media centers, players changing rooms, sky boxes and such areas we do comparisons. As they say, a picture speaks a thousand words
 
Back
Top Bottom