stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,099
- 33,641
indeed they can survive anywhere and anyhowKenyans are resilient creatures: proud "Iron-Sheet Dragons."
indeed they can survive anywhere and anyhowKenyans are resilient creatures: proud "Iron-Sheet Dragons."
Relax. utacheka zaidi, bado mamboHuu uwanja wenu kila nikiuona nacheka, ni uwanja mzr ila finishing mbv sn, inahitaji wakenya mpige kelele mambo yasiende kijuakali, cku Africa imeamka wanataka levels na sio bora liende.
You think barabara ndio kitu cha pekee lacking and needed in that place? What other supporting infrastructure ziko hapo?lakini hio road si iko under construction and tumekuonyesha current progress, ama ni maumivu makali sana?
View attachment 3627776
Ever heard of chamazi or azam complex? if not then tuliza wenge hujui chochote kuhusu CAT 4, meanwhile tukiendelea na kinyozi wetuYou think barabara ndio kitu cha pekee lacking and needed in that place? What other supporting infrastructure ziko hapo?
Hiyo ushagoo iko hata na hoteli mita tano kutoka hapo? Restaurants je? What about hospitals? Leisure places je like recreational parks where fans can unwind before and/or after games? Na vipi kuhusu gyms? What other modes of transport are there apart from barabara za vumbi? Are there trains connecting to the stadium? Kama kama uwanja utapatia mashabiki and even players bad experience during AFCON basi ni hii maku yenu.
Alafu minyamwezi yamekazana kupost nyasi ya Talanta ambayo has all the above-mentioned supporting infrastructure. Desperation ni mbaya jameni 😂😂😂😂
Your Gods wakusaidie someday uelewe economicsHaya ni maoni yake..it does not represent wakenya wote ata expressway walisema hivyo ,kwa sai kila mtu anaipenda....wachana na story za twitter fika kwa ground ujionee..unaumia sana na wakenya..na tayari tushawapiga knockout pale lamu..
hii picha unairuka au sio 🤣 🤣
Fanya hivi, hebu tuonyeshe interior parts za Samia stadium tuone ni gani iko na finishing mbovu.Huu uwanja wenu kila nikiuona nacheka, ni uwanja mzr ila finishing mbv sn, inahitaji wakenya mpige kelele mambo yasiende kijuakali, cku Africa imeamka wanataka levels na sio bora liende.
Hapana, anaruka hii 🤣🤣hii picha unairuka au sio 🤣 🤣
View attachment 3627789
ina shida gan hiO?Hapana, anaruka hii 🤣🤣View attachment 3627795
Sasa Samia ni Azam complex? Unajifariji sasa! 🤣Ever heard of chamazi or azam complex? if not then tuliza wenge hujui chochote kuhusu CAT 4, meanwhile tukiendelea na kinyozi wetu
View attachment 3627788
swali limekua gumu sio?Sasa Samia ni Azam complex? Unajifariji sasa! 🤣
Does maku stadium have any supporting infrastructure? Jibu swali nyamweziswali limekua gumu sio?