Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1782670061935.png
 
Kwa hivyo hamna commuter trains? 😂😂
ata ivo amna aliekua anataka kuwanyanyasa ni nyie ndo mmeanza vurugu, sisi tulikua tumetulia zetu sasa tunaanza kupost how dar looks like mnaanza kulia, tuwaelewe vp

1782671383979.png
 
Umetoka kwenye viti Sasa upo kwa nyasi. What will you post when it's done?

If I were you, I would be really worried about this state of affairs at sir.mia instead 😂😂View attachment 3617703View attachment 3617704View attachment 3617706View attachment 3617708
MM ningekua more worried if Arusha can host Afcon alafu outside Nairobi hakuna any other stadium to host, infact with how things are going, hmmm sjui lakini kwa zile nyasi nlivoziona sjui lakini miujiza ipo meanwhile zimepandwa tena, BTW wewe na mwaiofhawaii na Teargass mlikaa chini kabisa mkaona you can rival tz? au mlishawishiwa?


View: https://www.tiktok.com/@myregionview/video/7655373412574989576?is_from_webapp=1&sender_device=pc
 
Imagine that is their equivalent of Ngong road and southern Bypass which both lead to Talanta Stadium 😅😅
No one in EA can lecture us on roads

Southern Bypass
View attachment 3617721View attachment 3617722

Ngong Road

View attachment 3617725View attachment 3617726
Nyamwezi amekazana na picha za wiki ya kwanza like his life depends on it. Talanta lives in his head rent-free. Ningekuwa yeye, haya mazingira na hizi barabara yangekuwa yananipa hofu mno. Lakini nyani haoni kundule
IMG_1297.jpeg
IMG_1299.jpeg
IMG_1302.jpeg
IMG_1296 (1).jpeg
 
Back
Top Bottom