Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


official source

1781348383369.png
 
Report imetoka..

Page 32 wametoa uchambuzi mzuri kuhusu bandari ya Dar. Ndio imeshikilia biashara ukanda huu kwa Sasa. Uwekezaji mkubwa kutoka sekta binafsi na mapinduzi ya uendeshaji na uharaka wa huduma za kiforodha zinafanya Tanzania kuwa kimbilio kwa wasafirishaji na wafanya biashara.

Page ya 33 inaongelea bandari ya Mombasa vile Iko hivyo katika uendeshaji wake na imejikita kwenye propaganda zaidi kuliko uhalisia wake

View attachment 3606929
Nimeisoma kaka ripoti hiyo. Hakika Kenya ipo na hali mbaya sana. Maelezo machache toka kwenye ripoti.

Dar es Salaam Port
Tanzania’s primary hub has registered a substantial turnaround in efficiency. Vessel turnaround times have dramatically fallen to 3 - 6 days, a massive reduction from historical windows where ships frequently waited between 10 and 30 days. By aggressively tackling "waiting time at anchor" (the time a vessel idles at sea before a berth opens up), Dar es Salaam has mitigated supply chain friction.

Mombasa Port
Kenya's main hub has encountered persistent structural headwinds that have penalized its global standing. The report highlights a decline in its CPPI metrics driven by a sharp reduction in berth utilization efficiency. Vessels at Mombasa routinely spend excessive time waiting outside the port boundaries before they can dock and offload.
 
Hii Proof inaonesha Nairobi ni empty. Nairobi only bing in Social media
So used to mediocrity.
No wonder most people visit Dar vumbi only once, while everyone keeps returning to Nairobi.

The concept of fresh air and green spaces does not ring a bell in your mind.
Dar slum looks like Gaza after the bombings.

Until you demolish that fishing village and build everything afresh with proper spacing, you'll continue to compete with Central African cities. 😂😂
 
So used to mediocrity.
No wonder most people visit Dar vumbi only once, while everyone keeps returning to Nairobi.

The concept of fresh air and green spaces does not ring a bell in your mind.
Dar slum looks like Gaza after the bombings.

Until you demolish that fishing village and build everything afresh with proper spacing, you'll continue to compete with Central African cities. 😂😂
Kila mtu hapa JF anajua unajidanganya nafsi yako. Nani asiyejua kuwa kenya imetapakaa na flying toilet kila sehemu? Wadanganye South Sudan
 
Utaambiwa FIFA ranking means nothing. Utaambiwa club football is where the real thing is. Meanwhile kuna wakati siku haingeisha bila screenshot ya FIFA ranking humu.😂😂😂😂
I can remember someone telling them that Tanzania will never stay 1 year ahead of Kenya in FIFA ranking wakaponga. Naona hata mwaka haujaisha na already wamerudi kusoma number.
 
Unafaa kujua kwamba hiyo si affordable mzee 😂😂😂 gorofa za bei ya jioni. Hiyo ni luxury apartments.
The denominator is that it's a 15 floors building which available in every county in Kenya. Najua nyinyi watanzania gorofa bado ni Jambo geni kwenu.
 
Back
Top Bottom