Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


1781339583071.png
 
I know English is not your cup of tea so no matter how many times I put it , your 6th grade mind won’t comprehend… so, for the last time , this whole stretch under the expressway from JKIA to ABC place Westlands is under major renovations and beautification by the Chinese….. so let’s talk a few months down the road…. And make google or YouTube your friend….. kapeesh !… 🤪
Which renovations?? Kwan wakati mnapost picha za westlands before hizi sehem mlikua hamzioni

Btw hehee

View: https://vt.tiktok.com/ZSQuoGV2u/
 
Report imetoka..

Page 32 wametoa uchambuzi mzuri kuhusu bandari ya Dar. Ndio imeshikilia biashara ukanda huu kwa Sasa. Uwekezaji mkubwa kutoka sekta binafsi na mapinduzi ya uendeshaji na uharaka wa huduma za kiforodha zinafanya Tanzania kuwa kimbilio kwa wasafirishaji na wafanya biashara.

Page ya 33 inaongelea bandari ya Mombasa vile Iko hivyo katika uendeshaji wake na imejikita kwenye propaganda zaidi kuliko uhalisia wake

Screenshot_20260613-132557.png
 
Back
Top Bottom