Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

fb_img_1490255863747-jpg.487655


umeona hii amepost huyu mwenzako?floors ngapi izo....tukieka floors kumi na tano tutamaliza lini[/QUOTE]
Huyu kaweka ili kujibu lile lenu
Huyu hakujua battle yngu na nyie
 
Nmeona render hass tower. ..sasa lile ndio dude hakuna mnara najengo litapanda juu hope will beat Carlton centre in jo'burgy hands down
 
Kenya hua hawakubali kushindwa ndio hulka zao sasa hata mambo yao wanayapeleka kiujanja janja hahahhahaha
Umeona ee
Et wanalalamika sisi ni majengo matatu makubwa
Ni kwasababu ni marefu sana ata yangekuwa kenya yangeonekana marefu sana ila2 hawa jamaa ni wajanjawajanja wanaweka minara
 
fb_img_1490255863747-jpg.487655


umeona hii amepost huyu mwenzako?floors ngapi izo....tukieka floors kumi na tano tutamaliza lini
Huyu kaweka ili kujibu lile lenu
Huyu hakujua battle yngu na nyie[/QUOTE]
anajibu lemac yenye iko kitu 100 meters na zaidi na hii kitu ii
 
Yaan TPA Ingekuwepo mji wenu apo
Ingekuwa inafikiwa begani na britam ama UPA lkn kwakuwa njie ni wajanjawajanja mnaweka minara juu
Urefu wa UAP haujajumuisha mnara. UAP has an antenna not a Structural spire so bado UAP ni refu kuliko TPA. Muache kujenga majengo yenye floors fupi ndio muonekane muna floors nyingi eti.
 
Kwani kuna majengo mangapi kuanzia 20 na kuendea hapa dar na nairobi yapo mangapi? Kwa taarifa dar ina majengo marefu 20 kuanzia 20 floor and above
yako 20 peke yake dar?waah...basi nlikua naiogopa bure dar
 
Back
Top Bottom