Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dodoma inakuja
1779472231338.png


1779472300995.png
 
Mchengerwa ndie aliyesaign ujinga huu wa uwanja wa dodoma.
A short story of what happened: it was supposed to be funded by high prince of moroco, then mizingwe ilitokea katikati enzi za magu wazee walitaka kue na msikiti ndan

however morocoo wanajenga uwanja wa watu kama 120k ambao purely ni white elephant
 
A short story of what happened: it was supposed to be funded by high prince of moroco, then mizingwe ilitokea katikati enzi za magu wazee walitaka kue na msikiti ndan

however morocoo wanajenga uwanja wa watu kama 120k ambao purely ni white elephant
Hiyo ya Morocco kufund huo uwanja inaeleweka na Morocco walijenga msikiti dar. Swala la Morocco kuachana na project hiyo ni baada ya kifo cha Magu kwakua Magu aliachana na ile foreign policy against morocoo kuhusiana na western Sahara, Samia na genge lake la Mkwere wakabadilika.
 
Back
Top Bottom