stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,785
- 34,536
mbna kwenye uganda pia kuna hela yetuAnayesema Uganda itaipiku Tanzania anayajua haya?
Ndio mwanzoni niliwaambia kuwa Tanzania ni lazima iwe na refinery, awe Dangote ama la, hii game iliishaga kitambo sana. Wakenya wajinga na hawaelewi why Ruto alisema mapema Tanga. Wanafikiri Ruto ni mjinga.Hatuhitaji kuwanyang'anya hapo ni kuwapa tu total go ahead wajenge refinery kubwa tz, fursa ambayo hawawez iachia
Kwa sasa sawa ila kumbuka kuna gesi Tanzania ambayo dhamani yake ni zaidi ya Ile value ya UgandaNyie wacheni ubishi Uganda Inaenda kuipiku si Tanzania tu bali hata Kenya!
Mikopo hiyo kaka inawezekana , Azam ana uwezo huoMh labda waungane $17 bln si mchezo!
Ukiona hivyo huko Mbeya hakuna wateja wengi.ATCL hawana watu wa masoko vizuri,badala ya route ya Mbeya -Dar daily wangeweka Mbeya-Dom-Dar daily.
Ukiangalia Wingi wa routes za mabasi kutoka Mbeya namba 1 ni Dar namba 2 Dom namba 3 , Sumbawanga na namba 4 Songea namba 5 (Arusha,Mwanza)
Nimejenga hoja hapo Juu wewe unajibu pumba.Ukiona hivyo huko Mbeya hakuna wateja wengi.
Kaka Mdege siyo sawa na Bus. Ukiona hawajaweka route ya Mbeya - Dodoma maana yake haina faida kwamba wateja wa kupanda watakuwa wabunge tu.Nimejenga hoja hapo Juu wewe unajibu pumba.
ATCL Wana flights za Dar-Mbeya Kila siku asubuhi na jioni ,Kwa nini hiyo ya jioni isipotie Dodoma then Dar?
NI kweli sio sawa na basi lakini hiyo njia inao abiria ambao wanazungukia Dar na wengine wanapnda hizo VIP.Kaka Mdege siyo sawa na Bus. Ukiona hawajaweka route ya Mbeya - Dodoma maana yake haina faida kwamba wateja wa kupanda watakuwa wabunge tu.
Nieleze watu wa Mbeya wenye pesa wanaenda Dodoma kufanya nini?
Kati yako na World Bank nani anajua zaidi? You don't even know the value of your village economy yet you want to dispute your country's figures.GDP ya Tanzania sio halisi.