Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hatuhitaji kuwanyang'anya hapo ni kuwapa tu total go ahead wajenge refinery kubwa tz, fursa ambayo hawawez iachia
Ndio mwanzoni niliwaambia kuwa Tanzania ni lazima iwe na refinery, awe Dangote ama la, hii game iliishaga kitambo sana. Wakenya wajinga na hawaelewi why Ruto alisema mapema Tanga. Wanafikiri Ruto ni mjinga.


View: https://x.com/KipepeComrade/status/2053444964860702918?s=20

1779485957702.png
 
ATCL hawana watu wa masoko vizuri,badala ya route ya Mbeya -Dar daily wangeweka Mbeya-Dom-Dar daily.

Ukiangalia Wingi wa routes za mabasi kutoka Mbeya namba 1 ni Dar namba 2 Dom namba 3 , Sumbawanga na namba 4 Songea namba 5 (Arusha,Mwanza)
 
Nimejenga hoja hapo Juu wewe unajibu pumba.

ATCL Wana flights za Dar-Mbeya Kila siku asubuhi na jioni ,Kwa nini hiyo ya jioni isipotie Dodoma then Dar?
Kaka Mdege siyo sawa na Bus. Ukiona hawajaweka route ya Mbeya - Dodoma maana yake haina faida kwamba wateja wa kupanda watakuwa wabunge tu.

Nieleze watu wa Mbeya wenye pesa wanaenda Dodoma kufanya nini?
 
Kaka Mdege siyo sawa na Bus. Ukiona hawajaweka route ya Mbeya - Dodoma maana yake haina faida kwamba wateja wa kupanda watakuwa wabunge tu.

Nieleze watu wa Mbeya wenye pesa wanaenda Dodoma kufanya nini?
NI kweli sio sawa na basi lakini hiyo njia inao abiria ambao wanazungukia Dar na wengine wanapnda hizo VIP.

Hoja hapa ni uchache wa ndege ,yaani mabasi 30 (go & return) yanayosafirisha abiria kati ya 2000-2500 Kila siku ukose abiria 150-200 wa kusafuri na ndege tena route ya kuunganisha?
 
Back
Top Bottom