Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Teargass akiona picha za Dar kama hizi anazidi kuchanganyikiwa na kuanza kuandika vitu vya ovyo

1779460926562.png


1779461001966.png
 
Hizi zinatumia umeme mwingi sana kuna wakati tulikuwa na mechi Taifa kama mara mbili hivi umeme ulikatika zikashindwa kuwaka nasikia huchukua mpaka saa moja kuwaka katika full capacity kwa uwanja mzima tuliziondoa zote wao ndio wanaweka leo 🤣🤣🤣
hii naikumbuka vizuri, daaha bora tuliondokana na yale mabulb
 
You are talking rumours. Give us evidence that Kenyans external debt is above 50%.

Baadala ya kuongea nonsense hapa ungepost Tu link.
Sasa kama logic hata hio ndogo unashindwa kuelewa unadhan more info will help you?
 
Back
Top Bottom