Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi vitu ni beyond ur knowledge huwezi kuweka crude oil kwenye refined product tanks! they need serious modification!
Kwa hivyo Changamwe walikua wanarefine maziwa? Ama unadhani hakukua na storage ya crude oil? We mzee hua fala.
 
Kwa hivyo Changamwe walikua wanarefine maziwa?
Screenshot 2026-05-12 210843.png

Screenshot 2026-05-12 210856.png
 
Unajua maana ya transfer of powers? 😂 😂 😂 Wewe ni fala.
Katiba ya kenya inaongelea Devolution, lakini kinachofanyika ni political division through counties. Kila mwanasiasa anajimegea kipande chake.

Kunakuwa na small chiefdoms within the country.

Kitu kile kiliwashinda waingereza na kuamua kuachia makoloni yao. Serikali ya kenya ina gharamia counties ili kuwaridhisha wanasiasa kwamba serikali kuu ipate uungwaji mkono. kwahiyo Magavana wanakula pesa za Government na hakuna projects
 
Usiwe mjinga kwani Governors wakijenga mahospitali ama ECD centers wanjenga kwa pesa ilitengwa wapi? You are very foolish.
Haya wanajenga kwahiyo kwa akili yako unadhani haliwi included kwenye presentation ya national budget?
Unaelewa maana ya national budget kwanza?
 
Haya wanajenga kwahiyo kwa akili yako unadhani haliwi included kwenye presentation ya national budget?
Unaelewa maana ya national budget kwanza?
Kazi ya National Government ni kutransfer pesa to counties, they have no business on how counties will prepare their budgets. Usiwe mjinga.
 
Huyo ni pumbavu, eti anadhani our governments ni same na hizo local governments zao where everyone works from directives of the president ju hakuna any transfer of power.
Huwa anajifanya mjuaji lakini akili yake huwa empty😂😂
 
Kazi ya National Government ni kutransfer pesa to counties, they have no business on how counties will prepare their budgets. Usiwe mjinga.
Tueleze maana ya budget ni nini?
Kwa mujibu wa Financial Management.

Budget ni Revenue and Expenditure

Haya umeulizwa ulete Bajeti ya Kaunti moja. Wewe unaongelea transfer of money.

Jinga kweli hili
 
Unajua maana ya transfer of powers? 😂 😂 😂 Wewe ni fala.
Transfer of power sio kutengeneza wizi Buda.
Tanzania kuna municipalities ziko chini ya mayors na kadhalika na hazihusiani kabisa na central government na mandate yao Iko kwenye own source revenue ya municipality, allocation ya central government Iko based kwa parliament.
Ingekuwa devolution imewasaidia basi kuna county kama mandera, wajir na kadhalika wasingekuwa na shule za miti au kuwa na uhaba wa maji ,
Tanzania pamoja na kuwa hatuna devolution kwa sasa huwez Kuta kuna shule za miti au kusomea chini ya miti, actually most classes kwa sasa Zina tiles kitu ambacho kwenu ni ndoto
 
Tueleze maana ya budget ni nini?
Kwa mujibu wa Financial Management.

Budget ni Revenue and Expenditure

Haya umeulizwa ulete Bajeti ya Kaunti moja. Wewe unaongelea transfer of money.

Jinga kweli hili
Hawaelewi kuwa bajeti inakuwa inclusive na zile za counties ili kuunda bajenti ya nchi.
Kwenye bajeti husika kuna mpaka presentation ya zile institution ambazo ziko 100% owned na government ila walivyo wajinga wanajua kinachosomwa ni allocation tu.🤣🤣🤣
 
Transfer of power sio kutengeneza wizi Buda.
Tanzania kuna municipalities ziko chini ya mayors na kadhalika na hazihusiani kabisa na central government na mandate yao Iko kwenye own source revenue ya municipality, allocation ya central government Iko based kwa parliament.
Ingekuwa devolution imewasaidia basi kuna county kama mandera, wajir na kadhalika wasingekuwa na shule za miti au kuwa na uhaba wa maji ,
Tanzania pamoja na kuwa hatuna devolution kwa sasa huwez Kuta kuna shule za miti au kusomea chini ya miti, actually most classes kwa sasa Zina tiles kitu ambacho kwenu ni ndoto
Sasa after kujaribu kusupport ujinga wako na ukafail, umeamua kuendelea kua mjinga zaidi instead of admitting you were wrong.
 
Transfer of power sio kutengeneza wizi Buda.
Tanzania kuna municipalities ziko chini ya mayors na kadhalika na hazihusiani kabisa na central government na mandate yao Iko kwenye own source revenue ya municipality, allocation ya central government Iko based kwa parliament.
Ingekuwa devolution imewasaidia basi kuna county kama mandera, wajir na kadhalika wasingekuwa na shule za miti au kuwa na uhaba wa maji ,
Tanzania pamoja na kuwa hatuna devolution kwa sasa huwez Kuta kuna shule za miti au kusomea chini ya miti, actually most classes kwa sasa Zina tiles kitu ambacho kwenu ni ndoto
Kaka Tanzania tupo na Devolution inayoitwa D by D.

D-by-D stands for Decentralization by Devolution, which is a specific form of devolution.
 
View attachment 3587799
On top of that Nairobi also gets infrastructure developments from the central government.

So tell us how this is the same with Dar

Sasa huoni kama bado uko palepale nilikuambia leta planned budget ambayo inatokana na osr ( own source revenue ya Nairobi) maana hiyo ndo inajitegemea na haiko included kwenye national budget.
Ukiangalia allocation zako 40+ % inatoka central government.🤣🤣🤣🤣
Kukuelimisha tu dar es salaam inatumia 70% ya osr kwenye developemnt expenditure not inclusive zile za Toka central government
 
Also:

D-by-D stands for Decentralisation by Devolution. It is a specific policy framework used to transfer power, responsibilities, and resources from a central government to local government authorities.

The primary benefit of Decentralisation by Devolution (D-by-D) over "only" devolution is the intentional, integrated transfer of three critical pillars—political, administrative, and fiscal power—rather than just shifting political authority alone.

The term is most famously associated with Tanzania, where the government formally adopted the D-by-D policy in 1998 as part of the Local Government Reform Programme (LGRP). It was designed to replace a highly centralised system with a decentralized one to empower local councils.
 
Back
Top Bottom