Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ala
TPA Tanzania 178m tall
40floor building
Beside indian ocean
2df6463079c7c39ead1cf6faa08ad7c1.jpg

Leteni tulete
And the battle continues
alafu tpa sio 178 meters usidanganye umma
 
hehee....dar bado bro.na iyo arusha ilioshwa na nakuru itakua mombasa.daily tunawaambia dar ni pspf na tpa hamtaki kukubali.picha zenu zote mmezunguka tu apo..pspf,tpa,ukishikwa na haya ulete rita na bot..i feel sorry for you guys.heri mlete ariel view tu yaishe
From your post.
Dar. - TPA
-PSPF1
-PSPF 2
-BOT 1
-BOT 2
-RITA

And Nairobi is---UAP only.
 
Ujinga ni kusema tunarudia majengo wakati pembe zote a apo nai majengo ni yaleyale ....mnachefua mno, utaliona uap kila picha, kicc na britam, nawashangaa mnavyojisemesha uchuro wakati muda wote mnapost picha zilezile tangu zaman....hii thread ilishaisha siku nyingi sana. ...tofauti tu wanadar wengi wanalack picha za 1st class suburb even 2nd class .....
 
Kwikwikwikwi. Soma Taarifa. Kwamba tayari TZ ni ICT hub.

The NICTBB operates as a wholesale business concentrating on large capacity interfaces. Capacity servises are provided only to Service Providers who are licensed by the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Standard Synchronous Digital Hierarchy (SDH) and Standard IP Ethernet are used to offer end to end services on protected mode. The services are available in the following bandwidths
  • STM 1 (155 Mbps),
  • STM 4 (620 Mbps),
  • STM 16 (2.5 Gbps)
  • STM 64 (10 Gbps)
  • Fast Ethernet (100 Mbps)
  • Gigabit Ethernet (1000 Mbps)
NICTBB

View attachment 487630




Sasa pitia hizo documents halafu uje tena na bla bla zako hapa.


Labda hujanielewa, kuunda fiber network ni tofauti sana na making Tanzania an ICT Hub, ICT hub means a center that chuns out ICT solutions.

Kwa hili nikuulize Tanzania imebuni nini kwa sector ya ICT??
La pili kampuni gani ya ICT ya ulimwengu ipo Tanzania??
Tatu, Unajua ICT Incubation hubs?? Niambie Tanzania ni ngapi??

Ujue Kenya kwa mambo ya internet huwezi ongelea Africa, Internet ya Kenya ina compete na nchi kama Sweden na England, SA wenyewe wanasoma number tena kwa mbali, hadi Australia wanasoma number.

Kenya wamefika level ya kujenga Silicon Savanah at Konza, a town that will be like Silicon Valley of America, A city only for the IT people, Think of that
 
Sidhani kama wakenya watapata wakati wa kurudia tena hili, hasa ukizingatia kwamba majengo yale unataka kupost hapa ni yale yale tu ya PSPF, TPA, BOT, na mengine pale manne, ama kuna mageni???
Jaribu sasa jengo moja moja alaf utajua sasa
 
Ujinga ni kusema tunarudia majengo wakati pembe zote a apo nai majengo ni yaleyale ....mnachefua mno, utaliona uap kila picha, kicc na britam, nawashangaa mnavyojisemesha uchuro wakati muda wote mnapost picha zilezile tangu zaman....hii thread ilishaisha siku nyingi sana. ...tofauti tu wanadar wengi wanalack picha za 1st class suburb even 2nd class .....
Sasa Tuusan, hapo hii thread ilipofikia, kwa ukweli ni jengo gani atapost ama anataka mpost halijapostiwa humu?? Sema tu nipe mfano nielewe
 
Labda hujanielewa, kuunda fiber network ni tofauti sana na making Tanzania an ICT Hub, ICT hub means a center that chuns out ICT solutions.

Kwa hili nikuulize Tanzania imebuni nini kwa sector ya ICT??
La pili kampuni gani ya ICT ya ulimwengu ipo Tanzania??
Tatu, Unajua ICT Incubation hubs?? Niambie Tanzania ni ngapi??

Ujue Kenya kwa mambo ya internet huwezi ongelea Africa, Internet ya Kenya ina compete na nchi kama Sweden na England, SA wenyewe wanasoma number tena kwa mbali, hadi Australia wanasoma number.

Kenya wamefika level ya kujenga Silicon Savanah at Konza, a town that will be like Silicon Valley of America, A city only for the IT people, Think of that
Hahahhaa msikieni huyu sasa kweli sifa munazipenda ila umaskini umewashika mikono hahhahahahah
 
Ujinga ni kusema tunarudia majengo wakati pembe zote a apo nai majengo ni yaleyale ....mnachefua mno, utaliona uap kila picha, kicc na britam, nawashangaa mnavyojisemesha uchuro wakati muda wote mnapost picha zilezile tangu zaman....hii thread ilishaisha siku nyingi sana. ...tofauti tu wanadar wengi wanalack picha za 1st class suburb even 2nd class .....
hujaekewa ata le mac,hujaekewa 4th ngong avenue tower,hujaekea uon tower,prism,hazina,commercial bank,delta,parliament tower,.....trust me nyinyi ndio mmemaliza kila kitu
 
Sidhani kama wakenya watapata wakati wa kurudia tena hili, hasa ukizingatia kwamba majengo yale unataka kupost hapa ni yale yale tu ya PSPF, TPA, BOT, na mengine pale manne, ama kuna mageni???
Nadhani unasikia tu. Ngoja nikupatie majengo kadhaa

1. PPF tower
2. Millenium Tower II
3. Benjameni Mkapa Tower
4. Rita Tower
5. Uhuru Heights
6. Umoja wa Vijana Complex Tower 1
7. Umoja wa Vijana Complex Tower 2
8. Viva Tower Tower 1
9. Viva Tower Tower 2
10. NSSF Ilala Mafao House

Hapo nimekupatia machache tu kwa haraka. yote hayo ni zaidi ya floor 20.
 
Sasa Tuusan, hapo hii thread ilipofikia, kwa ukweli ni jengo gani atapost ama anataka mpost halijapostiwa humu?? Sema tu nipe mfano nielewe
Wewe nilishakwambia nairobi ndogo sana na imejengeka sehemu moja kwann tubishane
 
hujaekewa ata le mac,hujaekewa 4th ngong avenue tower,hujaekea uon tower,prism,hazina,commercial bank,delta,parliament tower,.....trust me nyinyi ndio mmemaliza kila kitu
Tena kwenye majengo marefu bongo usiizungumzie kabisa hehehe yani nilishakwambia kwenye majengo acha kabisa we zungumza Barabara sawa ila na kwenye Barbara mukae mkao wa kula pia hehehehe
 
Nairobi city of Life: The only city in the whole world one can see the cityscape amidst the game
C00JbzvVIAA8o7h.jpg
 
hujaekewa ata le mac,hujaekewa 4th ngong avenue tower,hujaekea uon tower,prism,hazina,commercial bank,delta,parliament tower,.....trust me nyinyi ndio mmemaliza kila kitu
Broo hii thread nipo nayo from the beginning, picha zote mmeshapost hadi mkaanza post watu wanacheza golf. ....Ndio maana nilipost ugali na nyama uku. ....
Barabara zoooote zipo humu,aerial view and everything...ask me anything kuhusu hii thread mpaka ilipofikia....story za world class city nazisikiliza lakini kama class city ndio zinaappear namna hyo basi tunadanganyana humu
 
Back
Top Bottom