stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,234
- 33,821
next year Uganda will be the first!
saahii washaanza kuji-doubt wanajibizana huko online!Kwa maana ya design nzuri pamoja na functionality, hili ni eneo jingine Wakenya wanaenda kulaumiana tena juu ya Tanzania baada ya BRT na SGR….🔥
View attachment 3574904View attachment 3574905View attachment 3574950View attachment 3574951
View attachment 3574952
Kwa maana ya design nzuri pamoja na functionality, hili ni eneo jingine Wakenya wanaenda kulaumiana tena juu ya Tanzania baada ya BRT na SGR….🔥
View attachment 3574904View attachment 3574905View attachment 3574950View attachment 3574951
View attachment 3574952
nchi zote ziko serious kasoro kenyanext year Uganda will be the first!
usisahau Uganda's oil is to start to flow from June! Next year it will be over 10% growth! n mind u true growth na si vitu vya kupika kama Ethiopia na Kenya!nchi zote ziko serious kasoro kenya
hahdi nshasahau 🤣 🤣 yaani tunawaza AFCON sana mpaka tushasahau vitu vingineusisahau Uganda's oil is to start to flow from June! Next year it will be over 10% growth! n mind u true growth na si vitu vya kupika kama Ethiopia na Kenya!
wakenya kwao mpira ni kama wameanza kuangalia juzi, mafanikio yao kila wakiongea utaskia CHAN 🤣 🤣 wakati uku ndo kwanza hata mashabiki kulikua amna, hio stadium ndo the best they have ever had they dont know anything else outside that boxsaahii washaanza kuji-doubt wanajibizana huko online!
Tanzania Inaweza ikawa juu, kuna viwanda vingi sana vilikuwa vinajengwa hapo katikati ndo vinaanza kufunguliwa hivi sasa. Pia sgr itakuwa imeanza kuingia bandarini na tazara itakuwa imeanza kuoperate kwa udogo hivyo exports zitakuwa kubwa, pia miaka hii miwili serikali imeajiri sana hivyo efficiency itaongezeka tofauti na hapo nyuma.next year Uganda will be the first!
The way you are hyping this p*ussy mtu anaezadhani ni Kitu cha ajabu kumbe ni a 20k seater Stadium building in the middle of nowhere.Kwa maana ya design nzuri pamoja na functionality, hili ni eneo jingine Wakenya wanaenda kulaumiana tena juu ya Tanzania baada ya BRT na SGR….🔥
View attachment 3574904View attachment 3574905View attachment 3574950View attachment 3574951
View attachment 3574952