Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Why do you want to choose only CBD? Upper hill ni Westlands haziko Nairobi?🤣🤣😂🤣
Nairobi can’t compete Luanda, from the ground to the skyline, you aint even close, miradi zenye you are dreams of Luanda has them already, it’s not even a discussion, Luanda is living your dreams. Luanda is only behind South Africa when it comes to real estate dvpt. Wewe league yako ni Dar so chill.
 
Toyota the biggest car manufacturer in the world does not have a showroom in Mwanza. 😂 😂 😂
Wala hiyo haizuii maendeo ya Mwanza Mr Zuzu. We are just doing fine. Toyota showroom inaongeza nini kwenye uchumi wa Mwanza.? 😂😂😂 mazuzu mingine bhana.
 
Nairobi can’t compete Luanda, from the ground to the skyline, you aint even close, miradi zenye you are dreams of Luanda has them already, it’s not even a discussion, Luanda is living your dreams. Luanda is only behind South Africa when it comes to real estate dvpt. Wewe league yako ni Dar so chill.
Pingana na baboons wenzako wenye hawana exposure. Saa hii sipotezi wakati na mtu kama kuna msema kweli🤣🤣🤣👇👇

1000244408.jpg
 
Kwani unadhani ya Kenya ndio haitafika Kisumu? Kisumu -Nairobi will command more traffic than Nairobi -Mombasa.

Saa hii mnahemeshwa na Mombasa, sijui kama Kisumu mtawezana nayo😂😂😂
how? where are you going to get those extra customers?
1776361358278.png
 
Wala hiyo haizuii maendeo ya Mwanza Mr Zuzu. We are just doing fine. Toyota showroom inaongeza nini kwenye uchumi wa Mwanza.? 😂😂😂 mazuzu mingine bhana.
LAck of Toyota Showroom in Mwanza signifies lack of disposal income among residents. Yani in short watu wa Mwanza ni maskini kama panya ya kanisa.
 
Wala hiyo haizuii maendeo ya Mwanza Mr Zuzu. We are just doing fine. Toyota showroom inaongeza nini kwenye uchumi wa Mwanza.? 😂😂😂 mazuzu mingine bhana.
Toyota knows where to invest, wanajua huko biashara is not feasible yet ju Mwanza bado ni kijiji.
 
Nilidhani umeongezeka akili kidogo kwa kipindi nimepumzika JF kumbe you are still stupid. 😂😂😂 unakuja na googke search kubishana na mimi.?
Saa hii sipotezi wakati na baboons🤣🤣😂👇👇👇

1000244408.jpg
 
Check air traffic ya Kisumu alafu urudi Darasani😂😂🤣😂.
Yaani wewe ni fala wa mwisho, yaani mm nitoke dodoma kwenda kampala kisa ndege imepitia Moshi(KIA) basi inahesabika?????????? una uhakika you have a gender?
 
😂😂 ila kukosa akili ni jambo baya sana. Ona sasa unavyojichoresha..
Unajua Toyota is the most popular car brand in bongoslum na hawako Mwanza. Ama unadhani Toyota hawataki pesa? 😂 😂 Ile bado ni kijiji that's why it does not make economical sense.
 
Unajua Toyota is the most popular car brand in bongoslum na hawako Mwanza. Ama unadhani Toyota hawataki pesa? 😂 😂 Ile bado ni kijiji that's why it does not make economical sense.
show us the exports then, ama imekaa pale inafanya nn?
 
Back
Top Bottom