Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kitu kenye utakimbilia ni capacity tu, ila uzuri wa hizo facilities unaonekana kwa macho tu ya mtu yeyote mwenye akili za kawaida.
Ndio maana nimekuambia beauty is in the eye of the beholder. Unawezapata mwanamke anaonekana mrembo sana kwa macho yako ila kwa mtu mwingine, haoni mvuto wowote kwake. Kilicho kizuri kwako sio lazima kiwe kizuri kwa Kila mtu. Umesikia bongolala?

But the fact remains, hakuna uwanja umetengenezwa kwa technology ya hali ya juu ukanda huu kuliko Talanta. This is a verifiable fact
 
Ndio maana nimekuambia beauty is in the eye of the beholder. Unawezapata mwanamke anaonekana mrembo sana kwa macho yako ila kwa mfu mwingine, haoni mvuto wowote kwake. Kilicho kizuri kwako sio lazima kiwe kizuri kwa Kila mtu. Umesikia bongolala?

But the fact remains, hakuna uwanja umetengeneza kwa technology ya hali ya juu ukanda huu kuliko Talanta. This is a veriable fact
In your dreams. Endelea kuota ila mimi nilishakuonesha ukweli.
 
Utajificha kwenye kichaka cha capacity tu. Ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi. Btw the stadium has 35k seaters capacity. Enjoy the view once completed. It will also be more beautful than Talanta (big fo nothing stadia). 👇🏾View attachment 3564564View attachment 3564566
Bongolala, nishakuambia beauty is in the eye of the beholder. Wacha kulazismisha kilicho kizuri kwako kiwe kizuri kwa Kila mtu. People view beauty differently
 
Bongolala, nishakuambia beauty is in the eye of the beholder. Wacha kulazismisha kilicho kizuri kwako kiwe kizuri kwa Kila mtu. People view beauty differently
Sio lazima unikubalie boss, nimepost ili watu waone, we endelea kubisha, kadiri upepo unavyovuma ndivyo kinyeo cha kuku kinavyoonekana.
 
Sio lazima unikubalie boss, nimepost ili watu waone, we endelea kubisha, kadiri upepo unavyovuma ndivyo kinyeo cha kuku kinavyoonekana.
Well done 👏👏
Post watu waone ila don't force people to have the same outlook as yours. The world doesn't operate that way
 
Ila makunya yalitutesaga na hizi investments za apartments😂. Anyways we are now back on track tunakuja kama mazombie. Msasani mango tree gardens. 👇🏾
IMG_2771.jpeg
IMG_2773.jpeg
 
Unakaza fuvu hapa na hata hujui inspection yenyewe ilifanyika lini! Bongolala, CAF did their inspection in the three countries in February and released their report this month. Hiyo yako waliyofanya three days ago sijui walifanyia Tandale ama Buguruni
kama sio chizi tayar basi unakaribia kua chizi, waje kufanya inspection ya nn exactly? kuna uwanja wa kufanya inspection tanzania kwamba hauna vigezo?
 
kama sio chizi tayar basi unakaribia kua chizi, waje kufanya inspection ya nn exactly? kuna uwanja wa kufanya inspection tanzania kwamba hauna vigezo?
Enda uulize Motsepe coz he sent a delegation to the three east African countries to do an inspection
 
Enda uulize Motsepe coz he sent a delegation to the three east African countries to do an inspection
mzee acha kujikuta chizi, sisi ni chizi zaidi yako, aje kufanya inspection aangalie nn? wewe kama motsepe utaenda kuangalia nn? labda viwanja vya mazoezina ule uwanja mpya wa arusha
 
mzee acha kujikuta chizi, sisi ni chizi zaidi yako, aje kufanya inspection aangalie nn? wewe kama motsepe utaenda kuangalia nn? labda viwanja vya mazoezina ule uwanja mpya wa arusha
Bongolala, I don't work at AFCON. Kama unaumwa sana na hii ripoti ya CAF peleka malalamishi yako Misri. Usinililetee hasira zako
 
Hehe... Westlands alone has almost 30 20+ floor buildings under construction. Hii issue ya apartments hata sijui unatoa wapi nguvu ya kuitaja
Hehehee Kawe sahii inakuja na blaa 👇🏾 golden premium residence. 👇🏾
IMG_2777.jpeg
kawe sahii yamoto. Enjoy the view. 👇🏾
IMG_1701.jpeg
a lot of projects coming up down there.
 
Bongolala, I don't work at AFCON. Kama unaumwa sana na hii ripoti ya CAF peleka malalamishi yako Misri. Usinililetee hasira zako
ebu soma hio tarehe ya hio post, basi huenda ushakua chizi tayar sio bure, no wonder juzi kocha wenu alikua anashangaa kits za mazoezi kule rwanda, aliambiwa hizi hizi ndo za mazoezi na ndo za mechi 🤣🤣
 
Back
Top Bottom