stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 19,791
- 15,716
🤣 🤣Gudubaiiii
Ila naiona Rwanda ikienda kuombwa kushiriki! Wakundustani ati wanadai bila wao Afcon haiwezekani!Ndo maaana uwanja wa FUMBA Ulikua unakimbizwa sana, watupe tu sisi na uganda mambo yasiwe mengi 🤣🤣
BTW 2 days to go before deadline ya ela ifike
bila wao tena 🤣 🤣 , wamekazia kadi za kupiga kura badala ya maendeleoIla naiona Rwanda ikienda kuombwa kushiriki! Wakundustani ati wanadai bila wao Afcon haiwezekani!
So amahoro itaanda match 3 hadi 4 kwa siku 😂,hii afcon tunaanda peke yetu labda na uganda maana tayari wana viwanja 2
Uganda nao wana vipengele kuna barua yao apo juu nmeiwekaSo amahoro itaanda match 3 hadi 4 kwa siku 😂,hii afcon tunaanda peke yetu labda na uganda maana tayari wana viwanja 2
Ila naiona Rwanda ikienda kuombwa kushiriki! Wakundustani ati wanadai bila wao Afcon haiwezekani!