AMARII
JF-Expert Member
- Aug 23, 2023
- 1,113
- 2,965
Ah YMCA Moshi.
Hey!Uganda na zanzibar waliambiwa waongeze uwanja mmoja mmoja, kuna uwanja uganda wanajenga unaitwa "AKIBUA" alafu kuna mpya unajengwa zanzibar unaitwa "FUMBA" apo tayar viwanja vimekamilika maaana kenya walikua na viwili talanta na kasarani ila sasa ndo ivo mkandarasi kanuna akavunja vifaa 🤣
ila hili tuliliona toka mda tukawa tunasema apa chance yao ni ndogo sana, ukizingatia hata fees za caf yenyewe hawajalipa
Tupe daily dozi za Talanta tumezimisI woke up to this today …
Too much interruptions of the view .. I rather be in Amboseli ..💯🤣🤣
It will never happen..CAF needs Kenya in the region more than we need them . No city around can match Nairobi logistics…Natamania kenya mpoteze hii nafasi
View attachment 3560590
It will never happen..CAF needs Kenya in the region more than we need them . No city around can match Nairobi logistics…
alisikika mbwa mmoja wa ukunduni! Msilipe fee tuone!It will never happen..CAF needs Kenya in the region more than we need them . No city around can match Nairobi logistics…
Hey!
Mkandarasi kavunja vifaa lini tena??
Mbona sijasikia hii?
The levels of desperation in this page is just out of this world. Badala watu waandae pesa waje watizame fainali Talanta Nairobi, bado wapo busy with wishful thinking! 😂😂😂Natamania kenya mpoteze hii nafasi
View attachment 3560590
Kwani tunapewa pesa na nyanya yako ?..🤣🤣🤣alisikika mbwa mmoja wa ukunduni! Msilipe fee tuone!
nani kakuuliza Kenya kashuti hivi kashuti vile! Mbona huongelei Ukundustani kuwa na njaa tangu independence!Kenya was first approved in 1987 … na bado mnataka to catch up na Kenya …stop kidding around 🤣🤣🤣🤣