Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nchi zote za NATO ziko upande wa Ukraine, inakuwaje hawa NATO njaa wa mchongo kunyaland wapo upande wa Russians?

Ndio maana hata waziri wao musalia alijibiwa kwa dharau maana kunyaland ni nchi ya kimang'aa
yule mrusi anaesambaza HIV ushamsahau walivomshobokea
 
Hata wakilipa bado Wana mtihani wa kumaliza viwanja vya kasarani na nyayo ndani ya muda .
Nyayo mkandarasi kaondoa vifaa sababu ya madeni ya nyuma kiasi Cha 2.9bil na kasarani kapunguza wafanyakazi. Hata wakisema walipe sasa hivi hawana uwezo wa kumaliza uwanja ndani ya miezi sita.
Hapa Dodoma ingekuwa speed tungechukua mechi zote za Kenya,sababu tungekuwa na
Dodoma
Arusha
Benjamin mkapa
Fumba
Abeid karume
Na huku tukiwapa Uganda group moja
Uganda na zanzibar waliambiwa waongeze uwanja mmoja mmoja, kuna uwanja uganda wanajenga unaitwa "AKIBUA" alafu kuna mpya unajengwa zanzibar unaitwa "FUMBA" apo tayar viwanja vimekamilika maaana kenya walikua na viwili talanta na kasarani ila sasa ndo ivo mkandarasi kanuna akavunja vifaa 🤣

ila hili tuliliona toka mda tukawa tunasema apa chance yao ni ndogo sana, ukizingatia hata fees za caf yenyewe hawajalipa
 
1774012554363.jpeg
 
Back
Top Bottom