ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,427
- 85,266
hawa jamaa wanajitahidi sana kwenye usafi juzi nmeona gari la brashi linapita town linasugua barabara, ukivuka boda tu upande wa kulia unakuta cholera as soon as umemaliza passportUmeina nyaya za umeme wamepitisha chini??
yule mrusi anaesambaza HIV ushamsahau walivomshobokeaNchi zote za NATO ziko upande wa Ukraine, inakuwaje hawa NATO njaa wa mchongo kunyaland wapo upande wa Russians?
Ndio maana hata waziri wao musalia alijibiwa kwa dharau maana kunyaland ni nchi ya kimang'aa
mbna mda mrefuKenya is dead
kwan una matumaini na ile project? 🤣 🤣Wafanye juu chini walipe maana iikitokea hawajalipa Talanta project will be abandoned!
Uganda na zanzibar waliambiwa waongeze uwanja mmoja mmoja, kuna uwanja uganda wanajenga unaitwa "AKIBUA" alafu kuna mpya unajengwa zanzibar unaitwa "FUMBA" apo tayar viwanja vimekamilika maaana kenya walikua na viwili talanta na kasarani ila sasa ndo ivo mkandarasi kanuna akavunja vifaa 🤣Hata wakilipa bado Wana mtihani wa kumaliza viwanja vya kasarani na nyayo ndani ya muda .
Nyayo mkandarasi kaondoa vifaa sababu ya madeni ya nyuma kiasi Cha 2.9bil na kasarani kapunguza wafanyakazi. Hata wakisema walipe sasa hivi hawana uwezo wa kumaliza uwanja ndani ya miezi sita.
Hapa Dodoma ingekuwa speed tungechukua mechi zote za Kenya,sababu tungekuwa na
Dodoma
Arusha
Benjamin mkapa
Fumba
Abeid karume
Na huku tukiwapa Uganda group moja
ushaaanza nmeona wanachimba chimba pale ni uko hatua za mwanzo sanauwanja wa Dodoma nadhani tunapigwa chai!
yaani ungekua sgr dar dodoma chapHaupo kwenye mpango, ila ungekuwepo ingekuwa magoli sana ,
hapanaHivi uwanja wa Azam pale Chamanzi hauna viwango vya CAF?
mzee be good 🤣wapeleleke Turkana maua yanaweza kuponya njaa!