Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,778
- 103,625
Muda utatuambia! wamesema washakusanya Ksh 30 bln kati ya Ksh +500 bln zinazohitajika!Someone is conspicuously missing from this launch. Magumashi launching mode activated😁
nani Museveni ? atakuwepo Tar 21 KisumuSomeone is conspicuously missing from this launch. Magumashi launching mode activated😁
Siasa tuu hizo wanavyopenda showbiz hawa kama wangekuwa na mpango imara wa ku finance hiyo reli Museveni angekuwepo wakati wa launch ila Mzee kaangalia mikakati yao kaona asipoteze muda tuu maana anawajua hawa magumashi tupu.Muda utatuambia! wamesema washakusanya Ksh 30 bln kati ya Ksh +500 bln zinazohitajika!
ok sawanani Museveni ? atakuwepo Tar 21 Kisumu