Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

According to bongolalas Nairobi ndio kuna mafuriko pekee hapa sio Dar is a slum

Image
Dar is a low land area how about Nairobi altitude above sea level? Mbona hatusikii mafuriko Arusha au moshi?
 
Embu tuelezee hiyo natural landscape ikoje tuijue ili tu verify kuwa sio kosa la urban planning na kina Sakaja hawahusiki na hiyo hali.
Nairobi is built on a highland and savanna low lands. Hii kitu nishawai sema hapa and sina wakati wa rudia in detail.
 
Wazee wakupika data hao na hali yote hiyo utasikia GDP ni usd 200bn ili asipitwe na aweze kukopa zaidi
mbna itakua freshi kabisa, shida yao si GDP ionekane kubwa tu, wakope bana, hata ivo wamepoa sana mbna ghafla hawaonekani uku
 
Back
Top Bottom