Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,682
- 107,122
Imekuwa majigambo ya Wakundustani! Chaaa... Wakundustani kwa misifa! Yaani hamna nchi inayoona cha maana kwa hili ila Ukunduni ipo twitter ikijisifu! Yaani ni aibu!Hii inakusaidia nini? wakati air space ya gulf countries imefungwa ulitaka wafanye layovers wapi?