Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pipeline Kenya 😂😂
1772101027552.jpg
 
Outside of Mbeya Dry Port
Hapa sikupata njia ya kupiga picha ya karibu so nikaipiga tu kwa nje
Having a Dry Port in Mbeya shows how important this City is in Tanzanian economy
PXL_20260226_105218534.MP.jpg
PXL_20260226_105222904.jpg
PXL_20260226_105318200.jpg
PXL_20260226_105504024.MP.jpg
PXL_20260226_105508098.jpg
 
Jeshi letu ndilo lenye historia iliyotukuka Africa, in: wars, covert operations, regime change, coups, leadership.

Na ndio nchi regarded as sub-imperial power in Africa.

I will substantiate all the above na ushahidi wa kutosha.
You like thumping your chest with imaginary stories…it’s like same you lie that you were the power behind liberation of South Africa yet when you talk to South Africans they will tell you ( it’s in their text books) the reason they went to war with boers was derived from the initiatives of Mau Mau uprising in Kenya . The ANC militant wing (Umkhonto We Sizwe) was derived from Mau Mau ideas ( it’s in South African text books). Nowhere Tanzania is mentioned except for later years when Nyerere jumped into the bandwagon to be relevant like Nkurumah after his Ujamaa policies started to fail . No wonder Southies respect Kenya more whereas you guys try to force yourselves to be their besties ..🤣🤣🤣🤣
 
You like thumping your chest with imaginary stories…it’s like same you lie that you were the power behind liberation of South Africa yet when you talk to South Africans they will tell you ( it’s in their text books) the reason they went to war with boers was derived from the initiatives of Mau Mau uprising in Kenya . The ANC militant wing (Umkhonto We Sizwe) was derived from Mau Mau ideas ( it’s in South African text books). Nowhere Tanzania is mentioned except for later years when Nyerere jumped into the bandwagon to be relevant like Nkurumah after his Ujamaa policies started to fail . No wonder Southies respect Kenya more whereas you guys try to force yourselves to be their besties ..🤣🤣🤣🤣
wacha unyoko wewe!
 
wacha unyoko wewe!
Regardless of what I posted, at least acknowledge the part that Mau Mau was behind the influence of South African blacks insurgency . Don’t blame me, it’s in their school text books . Now you was saying???😀😀😀😀
 
We can now officially conclude that Kenya was more influential in the struggles for liberation of Africa than some unnamed country 🤣🤣🤣… the influence spread from South Africa, Namibia, Zimbabwe to Zambia..the difference is unlike that unnamed country , Kenya don’t go around bragging about it .
IMG_8533.jpeg
 
We can now officially conclude that Kenya was more influential in the struggles for liberation of Africa than some unnamed country 🤣🤣🤣… the influence spread from South Africa, Namibia, Zimbabwe to Zambia..the difference is unlike that unnamed country , Kenya don’t go around bragging about it .
View attachment 3549187
Algerian uprising fuatilia trip ya mandela Algeria! wacheni kupotosha ukweli! nyie na Kunyatta na Njonjo mnabaki kuwa collaborators!
 
Atafanyaje sasa na miradi ya nchini kwake inahesabika. 😂😂😂
Pata picha angekuwa yupo Tanzania na namna tuna miradi mingi inayoendelea kila mkoa sidhani kama angekuwa anapata muda wa kupumzika maana ingekuwa ni mwendo wa kukagua miradi kila siku.
TANROADs kuna miradi zaidi ya 40 inaendelea angechukua miezi 2 kuitembelea


TARURA ipo miradi zaidi ya 50 inaendelea ingemchukua miezi zaidi ya 2 kuitembelea

Miradi ya viwanja vya ndege karibia kila mkoa kuna project.

DMDP Phase II
Over 21 contracts kwaajili ya Roads
Construction of 18 modern markets
Ingemchukua zaidi ya mwezi kuitembelea

- Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imesaini mikataba 30 (Ingemchukua zaidi ya mwezi kuitembelea miradi hiyo)

Kuna ujenzi wa shule za amali 37

Bado shirika la nyumba, bado Project za TPA, bado Ujenzi wa vivuko, Bado projects za badaraja, hapo hujaongelea SGR, bado hujaongelea ujenzi wa meli nk. Hapo Rais mwaka mzima kila siku atakuwa anatembelea miradi tu.
 
Msemaji wa Serikali ndani ya clip hii kaongelea miradi:


View: https://www.youtube.com/watch?v=Cei_P1Cy7A8


1. Sekta ya Usafiri wa Anga (Viwanja vya Ndege)

Serikali inawekeza takriban Shilingi trilioni 1.154 katika kuboresha viwanja vya ndege:
  • Kiwanja cha Ndege cha Arusha: Mradi wa kuweka taa za kuongozea ndege na kituo cha umeme (Shilingi bilioni 10.4) [04:19].
  • Kiwanja cha Ndege cha Moshi: Upanuzi na ukarabati wa barabara ya kuruka na kutua ndege (Shilingi bilioni 14.14) [04:54].
  • Kiwanja cha Ndege cha Mwanza: Mpango wa kujenga jengo la kisasa la abiria (terminal) [05:37].
  • Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato (Dodoma): Ujenzi umefika 90% kwa sehemu ya kwanza (barabara ya ndege na taa) [07:23].
  • Kiwanja cha Ndege cha Shinyanga: Ukarabati na upanuzi ili kupokea ndege kubwa aina ya Bombardier Q400 [08:06].
  • Kiwanja cha Ndege cha Tabora: Ujenzi umefikia 98% [08:31].
  • Kiwanja cha Ndege cha Kigoma: Ujenzi unaendelea na umefikia 42% [08:52].
  • Kiwanja cha Ndege cha Sumbawanga: Hatua za mwisho za ukarabati na upanuzi (Shilingi bilioni 60) [09:10].
  • Viwanja vingine: Mipango ya viwanja vya Serengeti na Kiabakari (Kagera) [06:31].

2. Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL)

  • Ununuzi wa Ndege: Serikali imepanga kununua ndege nyingine 8 ili kufikisha jumla ya ndege 24 ifikapo mwaka 2030 [01:00:51].
  • Upanuzi wa Safari: ATCL sasa inatua katika vituo 33 (16 ndani ya nchi na 17 nje ya nchi) [01:00:51].

3. Sekta ya Reli

  • Reli ya Kisasa (SGR): Ujenzi unaendelea kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza na Kigoma. Kipande cha Dar es Salaam - Dodoma tayari kinatoa huduma [19:29].
  • Reli ya TAZARA: Makubaliano ya ukarabati mkubwa kwa kushirikiana na China kwa gharama ya dola bilioni 1.4 [22:20].
  • Reli ya Kati (MGR): Ukarabati wa reli ya zamani kwa kuweka mfumo wa reli nzito zaidi (ratili 80) na kuboresha kipande cha Tabora - Kigoma [21:07].

4. Sekta ya Maji na Bandari

  • Bandari ya Dar es Salaam: Ujenzi wa magati 10 mapya na matenki 15 ya kupokelea mafuta [24:27].
  • Bandari ya Bagamoyo: Maandalizi ya ujenzi wa awamu ya kwanza ya bandari hii kubwa ya kisasa yameanza [25:38].
  • Kurasini Logistics Terminal: Mradi wa kupunguza msongamano wa makasha bandarini [26:01].
  • Bandari za Maziwani: Maboresho katika bandari za Kemondo, Bukoba (Ziwa Victoria) na Mbamba Bay (Ziwa Nyasa) [26:30].
  • Ujenzi wa Meli: Meli mpya zinaendelea kujengwa katika Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika [27:45].

5. Usafiri wa Mijini (Dar es Salaam)

  • Mwendokasi (BRT): Ujenzi wa miundombinu unaendelea. Mabasi mapya 49 yameingia kwa ajili ya njia ya Gongo la Mboto na mengine 99 yanatarajiwa [39:23].
  • Madaraja Makubwa: Ujenzi wa daraja la Jangwani (Shilingi bilioni 97), daraja la Kigogo, na daraja la Mkwajuni ili kupunguza foleni [54:35].
 
Back
Top Bottom