Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂😂😂
wacha upumbavu wewe Kisumu si level ya Mwanza kuanzia the size of the city, planning mpaka industries na mining centers mpaka ports mpaka watervessels! Mpaka public places bus/train terminals, markets, hospitals, universities n hotels mind u Kisumu haina 5 stars hotel! hata 4 star hotel hamna Kisumu! BTW hata Mwnza airport ni uzembe wa Wahusika hawajamaliza jengo na new PAX Terminal inakuja!
kisumu hii moja yenye imepata traffic lights mwaka juzi! 😂😂😂

View: https://x.com/nationafrica/status/1131414450223820801?s=46
 
Wanajua watalipa halafu watashindwa ku-host kwahiyo kuepuka hasara hawatalipa! mark my words!
Badala mjenge barabara ya kuelekea arusha na infrastructure zingine, upo hapa kuwashwa na ya kenya
Kwa the 3 hosts nyinyi hata ndo mnaonekana kulemewa
 
Badala mjenge barabara ya kuelekea arusha na infrastructure zingine, upo hapa kuwashwa na ya kenya
Kwa the 3 hosts nyinyi hata ndo mnaonekana kulemewa
Mfano Afcon ianze usiku huu, Tanzania ina Mkapa stadium, New Amaan Stadium na Gombani Stadium.
Uganda wana Hoima Stadium na Namboole Stadium.
Halafu kuna ninyi ambao utadhani CHAN ilivyo isha mligeuza viwanja kuwa mashamba ya mpunga. 😂😂😂
 
Mfano Afcon ianze usiku huu, Tanzania ina Mkapa stadium, New Amaan Stadium na Gombani Stadium.
Uganda wana Hoima Stadium na Namboole Stadium.
Halafu kuna ninyi ambao utadhani CHAN ilivyo isha mligeuza viwanja kuwa mashamba ya mpunga. 😂😂😂
Nairobi wamechezea congo leo na bado wakalimwa
 
The green city 😍
1000104415.jpg
1000103171.jpg
 
Rugby isnt even top 20 most popular sports, table tennis is even more popular than rugby, however bado mmelimwa na mko kwenu
USA and Germany participating in a tournament held in Kenya, lini mtafika huku?”
Halafu mnauliza mbona yule raia wa Russia kawatormba sana wakunya! 😂😂😂
 
Hiyo table tennis mumehost? Au ni kuropokwa ulipenda
Ungekua unajua ball ingekua easy kukuelezea, Tanzania is participating in CAF champions league, kukuelezea ndo mgumu since you only know RUGBY, take it this way CAF is the same institution dealing with AFCON and RUgby is a primary school tournament
 
Back
Top Bottom