Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Daily dose.

1000160510.jpg
1000160511.jpg
1000160512.jpg
1000160513.jpg
 
hii hapa 🤣 🤣 🤣 🤣

0HJ0j12000ij0l88sB221_C_670_376_Q70.webp
Hiyo stadium ya Mbeya kila mtu anajua ni mbaya na hakuna pesa imepotea hapo maana imejengwa so cheap. Yani ni pesa kidogo mno ndio wakajenga hiyo stadium tena zamani sana
Hiyo yenu ya Nairobi ni expensive na ni mpya and yet mmepoteza hela nyingi na stadium hata haivutii. Meanwhile the one in Arusha is cheaper and looks more beautiful than Talanta na hata bado haijakamilika. Hii Talanta hata sijui kwa nini mnafeel proud nayo

Labda mtaweka features nyingi ila design mmeharibu sana. Stadium haina mvuto
 
Yet he has the audacity to talk about aesthetics of a stadium badala kasome😂😂
Mimi nasoma, ni hizi 3 days nimeamua kuwa free. Na mada za elimu ni wewe ndio unaanzisha always baadae nikikujibu unaanza kulia kama mtoto mdogo 😂
 
Mimi nasoma, ni hizi 3 days nimeamua kuwa free. Na mada za elimu ni wewe ndio unaanzisha always baadae nikikujibu unaanza kulia kama mtoto mdogo 😂
Are you not a school kid? Hata CAT hujafanya na unapiga kelele hapa.
 
Back
Top Bottom