Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Don't bring you stupidity here, your exposure to a lot of information is very very low.


View: https://x.com/i/status/1893602528505270606

hujajibu swali, which company ya kenya inatengenezea mabus tanzania? na pia nchi gan afrika inatengeneza any bus, i dont mean assembly maaana hata sisi tunazo such companies

alafu huyo anetengeneza buses au assembly wa kenya kazi yake ni nn mbna mnapanda mafuso
 
hujajibu swali, which company ya kenya inatengenezea mabus tanzania? na pia nchi gan afrika inatengeneza any bus, i dont mean assembly maaana hata sisi tunazo such companies

alafu huyo anetengeneza buses au assembly wa kenya kazi yake ni nn mbna mnapanda mafuso
Buses used in Tanzania are built in Kenya. That's a fact.

Go and ask Katarama where they buy their Marcopolo buses.
 
Unapiga mashamba ya mihogo picha ATI greenery everywhere, wewe ushaiona shamba ya kupima that is not green?
Huku Mbeya watu wanapanda maharage mbele ya plot za nyumba zao ukifika msimu wa mvua. Tena huku mvua zinanyesha from November to June, kwa hiyo ukipanda maharage even without much care yanastawi yenyewe
Hiyo ni neighborhood lakini bado ina open spaces kwa sababu ni new neighborhood, kwa hiyo kwenye hizo spaces watu wanapanda maharage

Kwa Mbeya hayo sio mashamba, hizo ni bustani tu za nyumbani. Ukienda nje ya jiji ndio utakutana na real farms. Huku ni green kila sehemu yani panakaa Switzerland
 
Kama Mbezi beach imekaa hivo for decades sasa itakuwa hii. 🤣 🤣
This place used to be bush too only few years ago. Ila sasahivi baada ya watu kuanza kujenga nyumba serikali imeanza kuweka barabara mitaani. Na sio mbali na hiyo neighborhood niliyopost mwanzo
Mfano hii barabara bado inakuwa constructed kwa hiyo elewa unapoambiwa barabara zitajengwa hapo soon
PXL_20260110_124222313.jpg
 
Hapa ni Mbeya mtaa wa JB na Iwambi
Wakenya mnapaswa kuelewa huo uswazi mnaoona Tanzania ulijengwa miaka ya 2000s huko. Sikuhizi Watanzania hawajengi nyumba mbaya. Most average Tanzanians nowdays wanajenga nyumba za aina hii. Na pia chakula Tanzania sio shida, tuna chakula cha kutosha ukifananisha na Kenya. Sasahivi hakuna uswazi wowote unaojengwa Tanzania, maeneo ya uswazi ni hayohayo machache. Uswazi utaisha kwa sababu Watanzania wa kawaida sikuhizi wanajenga nyumba za design hii and there's no going back. Huku uswazi unaisha wenyewe naturally bila kujenga affordable housing nyingi
Bali ni maisha ya watu yanakuwa bora na kisha wanajenga nyumba zao wenyewe
Huku Tanzania maisha ni mazuri kuliko huko kwenu Kenya. Average citizen in Mbeya anaishi maisha mazuri kuliko average citizen in Nairobi
Just imagine hizo bustani zote unazoziona hapo kwenye neighbourhood ni maharage. Mtanzania wa kawaida anakula milo zaidi ya mitatu daily akitaka bila shida yoyote

Njooni Tanzania. Life ipo huku
PXL_20260110_115314059.jpg
PXL_20260110_115534713.jpg
PXL_20260110_120932085.jpg
PXL_20260110_120636061.jpg
PXL_20260110_123643365.jpg
PXL_20260110_122010200.jpg
PXL_20260110_124239427.jpg
PXL_20260110_124222313.jpg
PXL_20260110_125255715.jpg
PXL_20260110_125300372.jpg
PXL_20260110_125413063.jpg
PXL_20260110_125422746.jpg
PXL_20260110_125604876.jpg
PXL_20260110_125622720.jpg
PXL_20260110_125828743.jpg
PXL_20260110_125841201.jpg
PXL_20260110_125904107.jpg
PXL_20260110_130022267.jpg
 
Back
Top Bottom