Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa ni Mbeya mtaa wa JB na Iwambi
Wakenya mnapaswa kuelewa huo uswazi mnaoona Tanzania ulijengwa miaka ya 2000s huko. Sikuhizi Watanzania hawajengi nyumba mbaya. Most average Tanzanians nowdays wanajenga nyumba za aina hii. Na pia chakula Tanzania sio shida, tuna chakula cha kutosha ukifananisha na Kenya. Sasahivi hakuna uswazi wowote unaojengwa Tanzania, maeneo ya uswazi ni hayohayo machache. Uswazi utaisha kwa sababu Watanzania wa kawaida sikuhizi wanajenga nyumba za design hii and there's no going back. Huku uswazi unaisha wenyewe naturally bila kujenga affordable housing nyingi
Bali ni maisha ya watu yanakuwa bora na kisha wanajenga nyumba zao wenyewe
Huku Tanzania maisha ni mazuri kuliko huko kwenu Kenya. Average citizen in Mbeya anaishi maisha mazuri kuliko average citizen in Nairobi
Just imagine hizo bustani zote unazoziona hapo kwenye neighbourhood ni maharage. Mtanzania wa kawaida anakula milo zaidi ya mitatu daily akitaka bila shida yoyote

Njooni Tanzania. Life ipo huku
PXL_20260110_115314059.jpg
PXL_20260110_115534713.jpg
PXL_20260110_120932085.jpg
PXL_20260110_120636061.jpg
PXL_20260110_123643365.jpg
PXL_20260110_122010200.jpg
PXL_20260110_124239427.jpg
PXL_20260110_124222313.jpg
PXL_20260110_125255715.jpg
PXL_20260110_125300372.jpg
PXL_20260110_125413063.jpg
PXL_20260110_125422746.jpg
PXL_20260110_125604876.jpg
PXL_20260110_125622720.jpg
PXL_20260110_125828743.jpg
PXL_20260110_125841201.jpg
PXL_20260110_125904107.jpg
PXL_20260110_130022267.jpg
 
This is very true, pia mimi niko na close friend, we assisted him na rafiki yake to get out from Tanzanian prison, walishikwa bila makosa, just because they were carrying some cash, polisi wakachukua na kuwasingizia eti ni wezi ama wanapanga kufanya uhalifu.., the cash was not much, was upwards of 100K kshs(2 million Tshs) pekee! Yaani Watanzania mmelishwa propaganda wengi mmekua mafala walai!

Nakubaliana na Andrew Kibe (Kifee).,
 
Wivu utakuua wewe nyang'au.
Hakuna cha wivu hapo wala nini. Samia haikaribii Talanta stadium kwa lolote.
From technology used, to aesthetics to capacity to location to ambience and many other things. The difference is like heaven and earth.

Yani hapa East and central Africa hakuna uwanja utakaribia Talanta in anything.
 
Wewe zidi kuumia. This is Tangier stadium in Morocco hosting AFCON matches this month. View attachment 3528093

Alafu mnaongea like you got better seats in your stadiums. Enyewe wivu ni kitu mbaya
Unajua kwanini wanaongea?
Wala sio wivu, ni namna mlivyokuwa mnatamba humu kuwa mtaweka uwanja mzima folding seats.
Search comments za juu namna wenzako walivyokuwa wanatamba.
 
This is very true, pia mimi niko na close friend, we assisted him na rafiki yake to get out from Tanzanian prison, walishikwa bila makosa, just because they were carrying some cash, polisi wakachukua na kuwasingizia eti ni wezi ama wanapanga kufanya uhalifu.., the cash was not much, was upwards of 100K kshs(2 million Tshs) pekee! Yaani Watanzania mmelishwa propaganda wengi mmekua mafala walai!

Nakubaliana na Andrew Kibe (Kifee).,
View attachment 3527913
“Tanzanians have been conditioned to hate Kenyans”
Does the evidence point to this being true? Abso freakin lutely
 
Unajua kwanini wanaongea?
Wala sio wivu, ni namna mlivyokuwa mnatamba humu kuwa mtaweka uwanja mzima folding seats.
Search comments za juu namna wenzako walivyokuwa wanatamba.
Hebu quote that comment where we said the stadium will have foldable seats
 
Back
Top Bottom