Sawa.Hiyo video kama sijakoeea ni ya Upanga. I have said here time and again that Upanga is one of the few places you'd find apartments in Dar, the other ones being Masaki ( Dar's most affluent estate) and few others.
On the contrary, apartments are everywhere in Nairobi ( except in areas with zoning laws like Karen, Muthaiga, Gigiri, Loresho and other high-end neighborhoods).
Kama nadanganya, hebu niletee aerial pictures za Bugurini, Chanika, Madale na maeneo mengine tuone apartments. The truth is, apartments are limited to very few areas and Upanga is just one of them
Bongolala, so kati yangu na wewe who forces issues nani mjinga?We jamaa ni taahira kweli kwani skyline imepata maana nyingine mpya? Tunduma tu ina skyline
Yaani naislum kuongeza vijengo ushenzi ndio unataka kubadilisha definition ya skyline πππ
You are right .. I give this βbattle β all the credit for improving my Swahili swaggerβ¦ my Swahili confidence has gone way up .Hapa hakuna battle. We are just here to pass time and learn Swahili
Sikuizi anasoma kama guest.I miss Watchie opinion already. This where he comes in with his prophecy of doom analysis..ππ
kwa maoni yangu sidhani kama kuna advantage yoyote mji kuwa ''spread out'' kama ulivyoandika in terms of quality of life ya wakazi mji husika, kwani mara nyingi hizo ni informal settlements, kwangu mimi dar imetanuka sana bila ya mpangilio na matokeo yake ndiyo hayo kila kitu hakitoshi, maji hayatoshi, mabasi hayatoshi, barabara ndiyo hivyo kwa maana mji umekuwa mkubwa bila ya miundo mbinu kuufwata, hivyo ni bora mji uwe mdogo lkn huduma zote au karibia zote ziwepo, sasa hivi dar inaungana na bagamoyo wakati ilipaswa kuwe na tofauti kwani ni mikoa 2 tofauti, ukienda upande wa mr rd pia inaungana kibaha ambapo ni mkoa mwingine, kusini nako imeshaungana na pwani na hii ni tanzania nzima ukienda klm mji wa moshi imeshaungana na arusha watu wanajenga lkn hakuna planning, not good kwa maoni yangu.
tuna matumizi mabaya sana ya ardhi, usisahahu hii ardhi inapaswa iwepo kwa miaka 300 ijayo kwa wengine kuitumia pia ..
Why can't you just chill until that day you will hold a bachelor certificate in your hand? Unapiga kelele hapa yet you don't have anything.Si ulisema you don't care about my education ama. Hiki nini unaandika. Why are you obsessed with my education so much π
Always nakaa kimya kuhusu elimu, huwa naongea kuhusu Kenya vs Tanzania tu. Lakini wewe kila mara unakuja hapa unaanza kuongelea elimu yangu, wewe ndio unapenda kudiscuss kuhusu elimu yangu. Why?Why can't you just chill until that day you will hold a bachelor certificate in your hand? Unapiga kelele hapa yet you don't have anything.
Wewe hujawajua hawa? Chochote kizuri mkifanyq wao wanatafuta kitu cha kujifariji kupondea.Aerial view ya uwanja mpya wa morocco,unaonekana upo mbali sana na mji,nakumbuka kunyan walitucheka sana ule uwanja wa arusha kujengwa nje ya mji
Lakini hip uwanja haujajengwa msituni kama ya Arusha.Aerial view ya uwanja mpya wa morocco,unaonekana upo mbali sana na mji,nakumbuka kunyan walitucheka sana ule uwanja wa arusha kujengwa nje ya mji
Because you are an idiot.Always nakaa kimya kuhusu elimu, huwa naongea kuhusu Kenya vs Tanzania tu. Lakini wewe kila mara unakuja hapa unaanza kuongelea elimu yangu, wewe ndio unapenda kudiscuss kuhusu elimu yangu. Why?
Basi, mimi nitaendelea kuitetea elimu yangu every time ukiitaja. Kama hutaki kuisikia basi hakikisha hauongelei elimu yangu. La sivyo utazidi kuumia moyo bure, maana suala la mimi kuwa University student in one of the best Engineering schools in Tanzania linakuumiza sana ππBecause you are an idiot.
Which school is that?Basi, mimi nitaendelea kuitetea elimu yangu every time ukiitaja. Kama hutaki kuisikia basi hakikisha hauongelei elimu tangu. La sivyo utazidi kuumia moyo bure, maana suala la mimi kuwa University student in one of the best Engineering schools in Tanzania linakuumiza sana ππ
Mbeya University of Science and TechnologyWhich school is that?
Mtu anajibiwa sawa halafu bado anarudia kuandika insha! πππSawa.
Wa Uganda umejengwa nje wa mji ila huwa wanausifia. πππWewe hujawajua hawa? Chochote kizuri mkifanyq wao wanatafuta kitu cha kujifariji kupondea.
kwa maoni yangu sidhani kama kuna advantage yoyote mji kuwa ''spread out'' kama ulivyoandika in terms of quality of life ya wakazi mji husika, kwani mara nyingi hizo ni informal settlements, kwangu mimi dar imetanuka sana bila ya mpangilio na matokeo yake ndiyo hayo kila kitu hakitoshi, maji hayatoshi, mabasi hayatoshi, barabara ndiyo hivyo kwa maana mji umekuwa mkubwa bila ya miundo mbinu kuufwata, hivyo ni bora mji uwe mdogo lkn huduma zote au karibia zote ziwepo, sasa hivi dar inaungana na bagamoyo wakati ilipaswa kuwe na tofauti kwani ni mikoa 2 tofauti, ukienda upande wa mr rd pia inaungana kibaha ambapo ni mkoa mwingine, kusini nako imeshaungana na pwani na hii ni tanzania nzima ukienda klm mji wa moshi imeshaungana na arusha watu wanajenga lkn hakuna planning, not good kwa maoni yangu.
tuna matumizi mabaya sana ya ardhi, usisahahu hii ardhi inapaswa iwepo kwa miaka 300 ijayo kwa wengine kuitumia pia ...