Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I took this today.

PXL_20251027_101218290.jpg
 
 
Ingekua ni hao wamezungukwa na maadui kama wale , sahi Tz ingekua Islamic state🤣😂😂😂...pale posta ndio ingekua execution center... alshabaab wangechinja watu hapo vibaya sana.
Hakuna kama hicho wewe unahisi ugaidi ni wasomali ugaidi halisi upo msumbiji na washawahiingia TZ walikula mkong'oto sema sema udhaifu wa KDF ndo umefanya wasomali waonekane tafu wakiwatupia tu biscuit KDF watupa gun wanaenda kula biscuit kwanini wasomali wasionekane tough ?
 
Hakuna kama hicho wewe unahisi ugaidi ni wasomali ugaidi halisi upo msumbiji na washawahiingia TZ walikula mkong'oto sema sema udhaifu wa KDF ndo umefanya wasomali waonekane tafu wakiwatupia tu biscuit KDF watupa gun wanaenda kula biscuit kwanini wasomali wasionekane tough ?
mpuuzi kweli huyu! Angejua ugaidi wa Cabo Delgado uliojaribu kuja Mtwara ni juu ya utajiri wa gesi na upo well financed asingeongea!
 
Hakuna kama hicho wewe unahisi ugaidi ni wasomali ugaidi halisi upo msumbiji na washawahiingia TZ walikula mkong'oto sema sema udhaifu wa KDF ndo umefanya wasomali waonekane tafu wakiwatupia tu biscuit KDF watupa gun wanaenda kula biscuit kwanini wasomali wasionekane tough ?
So unataka kulinganisha a group of less than 1,500 fighters ambao wameanza kupigana juzi na alshabaab wa somalia compromising of more than 10,000 fighters with a battle hardened experience of more than 25years facing powers like the U.S, France, Turkish Trained and equiped fighters Ethiopia, Kenya na A.M.S.O.N. Alshabaab a group trained by Alqaida to build I.E.D'S ambayo ilivuruga America and the entire west! . Boss hapo ndani ya hiyo kichwa yako kuna kitu kweli isipokuwa meno!? ...
 
Back
Top Bottom