NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,386
- 17,968
I took this today.
ShimoniShinobi Fishing port in Kwale started operations
View attachment 3494842
Museveni meant business there .. a full sports complex even with a warm up track ..That Juakali stadium being built in Arusha will struggle to match this Ugandan Stadium.
View attachment 3494898
Hakuna kama hicho wewe unahisi ugaidi ni wasomali ugaidi halisi upo msumbiji na washawahiingia TZ walikula mkong'oto sema sema udhaifu wa KDF ndo umefanya wasomali waonekane tafu wakiwatupia tu biscuit KDF watupa gun wanaenda kula biscuit kwanini wasomali wasionekane tough ?Ingekua ni hao wamezungukwa na maadui kama wale , sahi Tz ingekua Islamic state🤣😂😂😂...pale posta ndio ingekua execution center... alshabaab wangechinja watu hapo vibaya sana.
mpuuzi kweli huyu! Angejua ugaidi wa Cabo Delgado uliojaribu kuja Mtwara ni juu ya utajiri wa gesi na upo well financed asingeongea!Hakuna kama hicho wewe unahisi ugaidi ni wasomali ugaidi halisi upo msumbiji na washawahiingia TZ walikula mkong'oto sema sema udhaifu wa KDF ndo umefanya wasomali waonekane tafu wakiwatupia tu biscuit KDF watupa gun wanaenda kula biscuit kwanini wasomali wasionekane tough ?
Huyu mama mboga ndo nani?
inakaa kuna video chafu ime-leak maana Kanini anajulikana kwa haya mambo1G
Huyu mama mboga ndo nani?
Ngoja niitafute maana hii ndo secta pekee wakenya wapo vizuriinakaa kuna video chafu ime-leak maana Kanini anajulikana kwa haya mambo1
So unataka kulinganisha a group of less than 1,500 fighters ambao wameanza kupigana juzi na alshabaab wa somalia compromising of more than 10,000 fighters with a battle hardened experience of more than 25years facing powers like the U.S, France, Turkish Trained and equiped fighters Ethiopia, Kenya na A.M.S.O.N. Alshabaab a group trained by Alqaida to build I.E.D'S ambayo ilivuruga America and the entire west! . Boss hapo ndani ya hiyo kichwa yako kuna kitu kweli isipokuwa meno!? ...Hakuna kama hicho wewe unahisi ugaidi ni wasomali ugaidi halisi upo msumbiji na washawahiingia TZ walikula mkong'oto sema sema udhaifu wa KDF ndo umefanya wasomali waonekane tafu wakiwatupia tu biscuit KDF watupa gun wanaenda kula biscuit kwanini wasomali wasionekane tough ?