Barabara zao zenye magari mengi ni Mombasa Nairobi - Kisumu
Tanzania barabara zenye malori mengi
Songea - mtwara
Mbeya - dar
Mtwara - dar
Dar mwanza,bukoba,kigoma
Dar - arusha
Dom - arusha
Hizo ni kwa uchache
Hata tukienda kwenye kampuni zenye malori mengi letsay above 2000 tz zipo kibao na Kila meli ikishuka lazima ishushe vyuma.
Ukienda kwenye mabasi iwe ya kununua au kutengeneza hakuna kampuni ya kikenya yenye above 150 units za mabasi au inayoweza toa units 40 kwa njia moja tu ila wanadanganyika na takwimu za 2020