Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

yani utasema walipigwa mabomu😂🙌🏻
View attachment 3488437
Hehehehe...the pot calling the kettle black!
maxresdefault (17).jpg
urban-slums-dar-es-salaam-600w-1042505350.jpg
images - 2025-04-26T012611.900.jpeg
204833415_3084541728_z.jpg
images - 2025-01-24T122612.220.jpeg
 
Barabara zao zenye magari mengi ni Mombasa Nairobi - Kisumu
Tanzania barabara zenye malori mengi
Songea - mtwara
Mbeya - dar
Mtwara - dar
Dar mwanza,bukoba,kigoma
Dar - arusha
Dom - arusha
Hizo ni kwa uchache
Hata tukienda kwenye kampuni zenye malori mengi letsay above 2000 tz zipo kibao na Kila meli ikishuka lazima ishushe vyuma.
Ukienda kwenye mabasi iwe ya kununua au kutengeneza hakuna kampuni ya kikenya yenye above 150 units za mabasi au inayoweza toa units 40 kwa njia moja tu ila wanadanganyika na takwimu za 2020
Kweli kabisa, Kunyaland nimeingia kama chooni, hakuna truck traffic hata robo, hiyo Mombasa road yenyewe hata trucks za Dar Arusha zimewazidi, tofauti na fake data Mombasa ni dry port ya kawaida tu kama kwala. Hata kama ni mzigo wa Mombasa 90 percent unaishia naislum
 
I Don't argue about obvious things with mad men. Your tiny port is being served by Mombasa and Lamu Port yet you are here yapping like a mongoose.
😅😅😅 Dar ro-ro tuu day to day activities zake ni sawa na Mombasa total performance 3, bado inajengwa oil port, hiyo ni mara 3 ya kipevu
images.jpeg
 
Yani amekazana Tu ATI hiyo barabara Yao ya chalinze has more trucks than Mombasa Road, mwenye hajui performance ya two ports can assume that Dar performs better than Mombasa based on his arguments 😂😂
Btw, Mombasa port imekuwa so busy this year. I can assure you the statistics for this year will be record breaking.
 
😅😅😅 Dar ro-ro tuu day to day activities zake ni sawa na Mombasa total performance 3, bado inajengwa oil port, hiyo ni mara 3 ya kipevu View attachment 3488539
So this picture is what makes you think your port is better than Mombasa? This shows inefficiency in clearing out of cargo. That's why ship waiting time at Dar is three times that of Mombasa.
 
Back
Top Bottom