Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uchafu upo wapi hapo maku,hivi ushawahi hata kuishika iphone 15 pro max,ushawahi kumiliki dslr camera,uoni hata aibu kujilinganisha na mimi we chokoraaView attachment 3487429View attachment 3487430
Mbona nijilinganishe na chokoraa? You are filthy dirty my friend. Look at your hands, when last did your face last saw water? Na juala unafanya nayo nini wewe chokoraa? Ama hujatosheka kuomba bangi? Ndio maana uko na pair moja ya kiatu.

1760257358613.jpeg
 
Nenda kwenye project ya talanta kama utakuta negative comments za TZ,then njoo uone comments za kunyan kwenye samia stadium,ndio utajua kunyan wana wivu kiasi gani
Mkiambiwa ukweli mnasema ni negative comments. Watanzania na ukweli ni kama maji na mafuta.
 
Nenda kwenye project ya talanta kama utakuta negative comments za TZ,then njoo uone comments za kunyan kwenye samia stadium,ndio utajua kunyan wana wivu kiasi gani
Wanajulikana! Vitu vidogo vina wa-excite sana sasa wanapofanya tunavifanya at easy, roho inawauma na wanajaribu ku-undermine kinachofanyika! Eti wanadai ati ni 20,000 seats stadium! Ngoja kitu kiishe halafu wajikute wana stadium inafanana na yetu yet wametoa $400 mln!
 
Wanajulikana! Wanadai ati ni 20,000 seats stadium! Ngoja kitu kiishe halafu wajikute wana stadium inafanana na yetu yet wametoa $400 mln!
Talanta and suluhu will be worlds apart. Technology inatumika kujenga Talanta has never been used anywhere in Africa. Stop comparing oranges with lemons
 
Wanajulikana! Vitu vidogo vina wa-excite sana sasa wanapofanya tunavifanya at easy, roho inawauma na wanajaribu ku-undermine kinachofanyika! Eti wanadai ati ni 20,000 seats stadium! Ngoja kitu kiishe halafu wajikute wana stadium inafanana na yetu yet wametoa $400 mln!
Wangejifunza tulipowapiga kwenye SGR,waliibeza sana SGR yetu,but ilipokamilika wanatoa milio mpaka hii leo,kunyan primitive sana ile mijitu
 
Back
Top Bottom