We nawe wacha uzembe ki article cha 2020 mpk leo unacho, kwa sasa Kenya inaongoza kwa ufukara EA.What do you want me to think about? This one?View attachment 3482006
Nani huyu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃTanzanian street beggar arrested by public in Pangani Kenya ๐คฃ๐คฃ
![]()
1M views ยท 23K reactions | Hii ndio inaitwa instant healing ama? | The lucky mum Debra Nyanchoka
Hii ndio inaitwa instant healing ama?www.facebook.com
Hakijawahi kuisha na hatutegemei kuisha in the near future. Tuna viongozi wazembe sn kwa sasa, they don't care na bado wanatumia pesa nyingi kuongopea watu waende kupiga kura.Mbona mi naona kama hiki kipande kinachukua muda mrefu kuliko muda uliotumika kujenga kutoka Dar-Moro?
Mnachekesha sanaaaaaa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ"Kenya hakuna miradi"
Meanwhile
Mwache dam
View attachment 3482167
View attachment 3482168
Thwake damView attachment 3482169View attachment 3482170
Siyoi-MurunyView attachment 3482171View attachment 3482172
Failed state mbili, hizi dharau! ๐๐๐
View: https://x.com/the_sambu/status/1973247018912080167?s=46
Hiyo road miaka nenda rudi wameshindwa kujenga, wanasubiri mchina awajengee aanze kubabua majority walalahoi kwa toll.hehehe siti in ze san kwa masikini huku alaf politicians wanapita juu kwa mchina๐๐๐๐ป
View attachment 3483225
View attachment 3483234