Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1756038261656.png
 
We matako umesoma hiyo article vizuri?
Inamaana wanauchumi wa kimataifa waliopiga chapuo kuwa China iwe developed country wanaendeshwa kwa self-opinions!?
Hivi unajielewa wewe kweli!?
Maneno mingi kama kuku inataka kutaga, si utuonyeshe report ya WB, IMF, HDI or any other economic data that is used to ranked countries by development.
 
Kuna mtu alisema Wakundustan wanazaliana kama kumbikumbi, Hizi taka nyingi ni diapers za watoto maana yake zote zimebeba mizigo😂, Kweli hii ni Flying toilet City . Maana mru yupo juu kule anatusha tu chini.
kenya ni kawaida ng'ombe na mkenya wote wana haki sawa 😂😂😂😂 na imagine zigo likirushwa kutoka juu mpaka linafika chini tayar mvua ya nnya imeshanyesha
 
We matako unazijua criteria za first world country!??
1.Human development index China ipo juu.
2. Purchasing power parity China ndio inaongoza.
3. China ina higher per Capita income.
4. China ina higher GNP na GDP.
5. Second largest economy in terms of GNP and GDP.

Nikupe swali la mwisho,unaweza kunieleza kwanini USA na EU walipiga kura kuitaka China itoke kwenye developing countries list!??
Nijibu hilo swali.
We ndio matako until utuonyeshe a report from a credible source that China is a developed country. USA na EU wanapiga kura ya nini? It's the IMF ,WB and UNCTAD hutoa hizo reports. Huko kwenu bongoslum WB wamewatoa LDC but IMF, UNCTAD na HDI data still zinasema mko LDC. Si basi muite hao EU na US wawapigie hio kura unasema mupandishwe. 🤣🤣🤣🤣
 
We matako unazijua criteria za first world country!??
1.Human development index China ipo juu.
2. Purchasing power parity China ndio inaongoza.
3. China ina higher per Capita income.
4. China ina higher GNP na GDP.
5. Second largest economy in terms of GNP and GDP.

Nikupe swali la mwisho,unaweza kunieleza kwanini USA na EU walipiga kura kuitaka China itoke kwenye developing countries list!??
Nijibu hilo swali.
We deal with facts not emotions. 🤣 🤣 🤣 Kama inakuwasha sana enda lilia mama yako Samia muambie she should work harder.

ScreenShot Tool -20250824163608.png
 
Back
Top Bottom